Sallam SK aka Mr. Misifa kaumbuliwa na Joh Makini

Sallam SK aka Mr. Misifa kaumbuliwa na Joh Makini

Watu hamjui mziki ulianza kuharibika tokea arudi Ali Kiba kwenye game 2013,hapa ndipo zikaanza timu kwenye Kili Music Awards (Team Mange, Team Joketi, Team Wema na Team Kiba),mwisho wa siku tuzo chali.

Mistake kubwa tena kuliko zote media kuchagua upande kwenye hili beef la Kiba na Mondi, Matokeo yake sasa hivi tuna team Harmonize, mziki wabongo kila siku unazidi kivunjika, hatujui kesho tutakuwa na team ipi. Ukirudi kwa washika dau kila mtu na msanii wake, kila radio na wasanii wake, uadui unakua kila siku. Jana Joh na Sallam,leo Mb Dog na Ay kesho hatujui nani na nani.

Wanaija ni wabinafsi kila mshikadau kwenye Industry yao wanautizama mziki wao tu na wamesambaa sana kwenye vyombo vya kimataifa na hata ukifanya nyimbo na msanii wa Naija hawa upromoti hata kwenye acc zake za social networks,Shata Wale na Stoneboy waliya ongea haya.

Bongo sizani na wala sifikiri kama wasanii watapendana,kunawasanii wanaambiwa na media ukifanya collabo na msanii fulani hupati airtime, siku hizi washaanza kuitana wachawi (nishike mkono tushindane........) na fununu nilizo zipata sasa Country Wiz amesha jitoa Konde Gang, sijui napo itakuwaje kama watakuwa hawa jaachana vizuri.

Hizo team za udaku ni za kawaida na naweza kusema ni legacy ya mahaba ya watu kwa wema. Hizo team zari sijui diamond zilikuja lately japo Team kiba na Diamond zilidandia mbeleni na kweli zimekita mizizi on top kiasi kwamba wengine hawana chance

Pia muziki haukuharibikia kwa ali kiba kupewa promo ili awe replacement ya diamond kwenye industry maana hiyo michezo ya Watu wa "media flani" kupromote msanii flani ili ampoteze msanii mwingine ni kawaida. Hata lady jay dee alichezewa mbona, baada ya machozi band ikaundwa skylight band na ikapewa promo hadi machozi ikaanguka

Muulize rama dee au vumilia alipoleta kiburi. Muziki ulianza kuharibika ulipoanza kuwa commercial na watu wachache walio na koneksheni mjini kuamua nani aende na nani asiende. Sadly hata waliobaniwa washaujua utamu wa huu mchezo na wao wanaendeleza kwa hiyo hauishi leo wala kesho
 
Hizo team za udaku ni za kawaida na naweza kusema ni legacy ya mahaba ya watu kwa wema. Hizo team zari sijui diamond zilikuja lately japo Team kiba na Diamond zilidandia mbeleni na kweli zimekita mizizi on top kiasi kwamba wengine hawana chance

Pia muziki haukuharibikia kwa ali kiba kupewa promo ili awe replacement ya diamond kwenye industry maana hiyo michezo ya Watu wa "media flani" kupromote msanii flani ili ampoteze msanii mwingine ni kawaida. Hata lady jay dee alichezewa mbona, baada ya machozi band ikaundwa skylight band na ikapewa promo hadi machozi ikaanguka

Muulize rama dee au vumilia alipoleta kiburi. Muziki ulianza kuharibika ulipoanza kuwa commercial na watu wachache walio na koneksheni mjini kuamua nani aende na nani asiende. Sadly hata waliobaniwa washaujua utamu wa huu mchezo na wao wanaendeleza kwa hiyo hauishi leo wala kesho
"Pia muziki haukuharibikia kwa ali kiba kupewa promo ili awe replacement ya diamond kwenye industry maana hiyo michezo ya Watu wa "media flani" kupromote msanii flani ili ampoteze msanii mwingine ni kawaida."

Umelalamika wanaija kutupiga gap, ila unasema michezo ya media fulani kumpa promo kiupendeleo kwa ajili ya kumshusha fulani kawaida, naona umepinga unacho kikubali.

"Muziki ulianza kuharibika ulipoanza kuwa commercial "

Sizani kama ni sababu ya maana, Wanaija Mziki wao Commercial na bado wanapendana. Naija beef zao zinabaki kati ya msanii na msanii na ndio maana hazichukuagi mda mrefu zinaisha. Moja ya beef za kibongo kuto kuisha ni hizi media, zinachochea sana ndizo zina uharibu mziki.

Hapo ndipo uone tofauti yetu na ya kwao, wewe unaona kawaida msanii mmoja ashushwe na media fulani, ili mmoja apande wenzetu Naija media na washikadau wote wananapigana wasanii wote wapande wote haijalishi kama wasanii wana mabeef yao bunafsi au laah na ndio maana beef za wanaijeria zinawahi kuisha.

Ila huku media ikiwa na beef na msanii fulani promo hupati, wasanii wengine wakijaribu kucolabo na ww, basi hiyo nyimbo haipewi airtime na huyo msanii anabaniwa na hiyo haitoshi ukionekana kwenye events ya msanii wenye beef nae airtime sahau (Linah na Chemical washawahi kuya zungumzia ).
Matokeo yake beef linazidi kukomaa na media waanazidi kuchochea.Mimi na kwambia beef za bongo flavour hazitokuja kuisha, bali vipande vitaongezeka Team Kiba,Team Mondi now tuna team Harmonize kesho sijui tutakuwa na kipande gani na media zisha chagua pande.


"skylight band na ikapewa promo hadi machozi ikaanguka"

Kwa style 👆👆👆👆 mziki wa bongo kwenda kimataifa sahau au utaende kimataifa kwa kikundi chenye nguvu huku wengine wakiwa watazamaji,lkn kwenda pamoja sahau.
 
😎😎tupo hivyo ndio maana wanaija wamesambaa duniani hawakunjiani kwenye fursa ila sisi sasa mkuu, Labda tutakuja kubadilika😎😎

Hizo team za udaku ni za kawaida na naweza kusema ni legacy ya mahaba ya watu kwa wema. Hizo team zari sijui diamond zilikuja lately japo Team kiba na Diamond zilidandia mbeleni na kweli zimekita mizizi on top kiasi kwamba wengine hawana chance

Pia muziki haukuharibikia kwa ali kiba kupewa promo ili awe replacement ya diamond kwenye industry maana hiyo michezo ya Watu wa "media flani" kupromote msanii flani ili ampoteze msanii mwingine ni kawaida. Hata lady jay dee alichezewa mbona, baada ya machozi band ikaundwa skylight band na ikapewa promo hadi machozi ikaanguka

Muulize rama dee au vumilia alipoleta kiburi. Muziki ulianza kuharibika ulipoanza kuwa commercial na watu wachache walio na koneksheni mjini kuamua nani aende na nani asiende. Sadly hata waliobaniwa washaujua utamu wa huu mchezo na wao wanaendeleza kwa hiyo hauishi leo wala kesho

Unasema hawakunjiani, still bado unasema msanii mmoja kushushwa ili mwengine apamde kwako unaona kawaida...........mmmhhhh.Halafu badae unasema Wanaijeria wanasambaa sana duniani........mmhh.

Then unasema hizi team ni za Udaku, ila hizi team zina nguvu na influence kubwa kwa mziki wa bongo na ndio maana hata media wana zisupport .Hizi team zingekuwa za Udaku kama zingeishia mitandaoni ila mpaka kwenye media zipo na ndio maana, media nazo zina chagua wasanii wa kuwapromoti.
 
Yule ni mjanja mjanja tu na dalali kama madalali wengine, angekua na impact angekua na kampuni yake ya muziki awe na wasanii wake sio kuajiriwa na wcb na kudandia dandia wasanii halafu ni mdananda yuke roho yake mbaya hatari kabana michongo mingi ya wasanii hapo Bongo na kaweka pesa mbele hivo hana msaada wowote kwa wasanii
Waswahili mna maneno mengi mnooo kuliko matendo. Mnapenda kuona wengine wakiishi dreams zenu baada ya nyinyi kushindwa kuzifanikisha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii ni roho ya kimaskini tu kama huyo sk
Ile ngoma ilibamba kinoma sijui ulitaka iweje ili uone sasa imeleta impact

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Miaka 6 na ngoma ina views 958K

1641715005549.png



Wakati miaka 4 manfongo kafikisha 1.6M akiwa peke yake bila AKA
1641715071298.png
 
Mkuu acha sisi tuendelee kuringishiana wanawake na roho za kukunjiana, wanaija acha wazoe matuzo ya grammy na kolabo za kufa mtu, embu fikiria , davido ft nicki minaj, davido ft drake, wizkid ft drake, beyonce ft wizkid, burna ft angelique kidjo, yemi alade ft a.kidjo, fireboy ft ed sheeran...davido kwa mwaka mmoja uliopita kaingiza karibia bilioni 40 za kitanzania ...
Aisee hiyo ni dollar millioni 17 za mnyamwezi.
 
Ni sawa lakini
Sina hakika kama ubora ya nyimbo uko kwenye views za youtube
Ila nnachojua hii ngoma ili bamba kiasi cha kuwa midomoni mwa watu sana kipindi chake

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Ndo maana nimekwambia kwa ukubwa wasanii kama aka na davido tulitegemea kuiona ngoma katika rank za juu kila platfom za kimiziki

Na ndio maana nasema ngoma hazina impact ambayo zilipaswa iwe, kulingana na title ya wasanii ambayo wako nayo
 
😎😎tupo hivyo ndio maana wanaija wamesambaa duniani hawakunjiani kwenye fursa ila sisi sasa mkuu, Labda tutakuja kubadilika😎😎



Unasema hawakunjiani, still bado unasema msanii mmoja kushushwa ili mwengine apamde kwako unaona kawaida...........mmmhhhh.Halafu badae unasema Wanaijeria wanasambaa sana duniani........mmhh.

Then unasema hizi team ni za Udaku, ila hizi team zina nguvu na influence kubwa kwa mziki wa bongo na ndio maana hata media wana zisupport .Hizi team zingekuwa za Udaku kama zingeishia mitandaoni ila mpaka kwenye media zipo na ndio maana, media nazo zina chagua wasanii wa kuwapromoti.

Kusema "kawaida" ilimaanisha mchezo huo haukuanzia kwa kiba kama niliyemquote alivyosema. Sio kwamba kwangu ni kawaida kwa minajili ya kuikubali ila ni kawaida kwa music industry

secondly nilimuonesha kuwa teams hazijaanzia kwa kiba. Ni kitu wadaku walikianzisha enzi za wema akiwa powerful celebrity ila hii ya diamond vs kiba ndio imechukuliwa kwa ukubwa kwa sababu haikutengenezwa na fans.. ila fans walitengenezewa na wao wakaikubali na imekita mizizi sababu tayari ni biashara

jiulize tu, kabla ya kiba kurudi na kupewa promo heavy weight na media, kulikuwa na team kiba au kuna mtu alishawahi kumuita kiba "King wa bongo flava"

Hicho ndo nilimaanisha na natumai umeelewa
 
"Pia muziki haukuharibikia kwa ali kiba kupewa promo ili awe replacement ya diamond kwenye industry maana hiyo michezo ya Watu wa "media flani" kupromote msanii flani ili ampoteze msanii mwingine ni kawaida."

Umelalamika wanaija kutupiga gap, ila unasema michezo ya media fulani kumpa promo kiupendeleo kwa ajili ya kumshusha fulani kawaida, naona umepinga unacho kikubali.

"Muziki ulianza kuharibika ulipoanza kuwa commercial "

Sizani kama ni sababu ya maana, Wanaija Mziki wao Commercial na bado wanapendana. Naija beef zao zinabaki kati ya msanii na msanii na ndio maana hazichukuagi mda mrefu zinaisha. Moja ya beef za kibongo kuto kuisha ni hizi media, zinachochea sana ndizo zina uharibu mziki.

Hapo ndipo uone tofauti yetu na ya kwao, wewe unaona kawaida msanii mmoja ashushwe na media fulani, ili mmoja apande wenzetu Naija media na washikadau wote wananapigana wasanii wote wapande wote haijalishi kama wasanii wana mabeef yao bunafsi au laah na ndio maana beef za wanaijeria zinawahi kuisha.

Ila huku media ikiwa na beef na msanii fulani promo hupati, wasanii wengine wakijaribu kucolabo na ww, basi hiyo nyimbo haipewi airtime na huyo msanii anabaniwa na hiyo haitoshi ukionekana kwenye events ya msanii wenye beef nae airtime sahau (Linah na Chemical washawahi kuya zungumzia ).
Matokeo yake beef linazidi kukomaa na media waanazidi kuchochea.Mimi na kwambia beef za bongo flavour hazitokuja kuisha, bali vipande vitaongezeka Team Kiba,Team Mondi now tuna team Harmonize kesho sijui tutakuwa na kipande gani na media zisha chagua pande.


"skylight band na ikapewa promo hadi machozi ikaanguka"

Kwa style 👆👆👆👆 mziki wa bongo kwenda kimataifa sahau au utaende kimataifa kwa kikundi chenye nguvu huku wengine wakiwa watazamaji,lkn kwenda pamoja sahau.
naona umejibu kwa kutonielewa context yangu na nimemjibu mwenzio pia

kusema kwangu replacement kwenye muziki ni kawaida haimaanishi nimeikubali ila si kitu kipya tofauti na ulivyosema kuwa imeanzia kwa kiba. Ndio maana nikakuonesha mifano mingine ya zamani hata kabla ya hiyo "bifu ideal" uliyoisema

By the way sioni muziki wa bongo ukisogea zaidi kama ukunjaji utaendelea.. Unaweza mtetea msanii ila na yeye anataka beats za bure kwa upcoming producers, rejea weusi walivyomkimbia Nahreal baada ya kutaka wamlipe dau zuri kwa ajili ya beatz.

Issue sio media tu kwenye hii industry hususanj kwenye era ya social media na online platforms..Value chain ndio inahitajika, hata diamond kafika alipofika kwa kuthamini team nzima kuanzia producers hadi video directors. Wengine hawajali, Hata marioo anahit kwa combination ya hanscana na habba japo hana media back up kubwa sana

Kingine wasanii wakubali kuajiri professionals. Sio unamchukua mshkaji wako ndio anaku_manage au sponsor flani. Unahitaji vichwa kama seven ambacho kina bigger picture kichwani, Fuatilia Vichwa vilivyopo nyuma ya record labels au wasanii wa Nigeria, Wapo well learned and exposed

Mambo ni mengi siwezi hata kumaliza
 
naona umejibu kwa kutonielewa context yangu na nimemjibu mwenzio pia

kusema kwangu replacement kwenye muziki ni kawaida haimaanishi nimeikubali ila si kitu kipya tofauti na ulivyosema kuwa imeanzia kwa kiba. Ndio maana nikakuonesha mifano mingine ya zamani hata kabla ya hiyo "bifu ideal" uliyoisema

By the way sioni muziki wa bongo ukisogea zaidi kama ukunjaji utaendelea.. Unaweza mtetea msanii ila na yeye anataka beats za bure kwa upcoming producers, rejea weusi walivyomkimbia Nahreal baada ya kutaka wamlipe dau zuri kwa ajili ya beatz.

Issue sio media tu kwenye hii industry hususanj kwenye era ya social media na online platforms..Value chain ndio inahitajika, hata diamond kafika alipofika kwa kuthamini team nzima kuanzia producers hadi video directors. Wengine hawajali, Hata marioo anahit kwa combination ya hanscana na habba japo hana media back up kubwa sana

Kingine wasanii wakubali kuajiri professionals. Sio unamchukua mshkaji wako ndio anaku_manage au sponsor flani. Unahitaji vichwa kama seven ambacho kina bigger picture kichwani, Fuatilia Vichwa vilivyopo nyuma ya record labels au wasanii wa Nigeria, Wapo well learned and exposed

Mambo ni mengi siwezi hata kumaliza
100% hiyo paragraph ya pili kutoka mwisho imeshiba.
 
Ila iyo ya Ay na Mb dogg Ay kazingua bora angepiga kimya maana hakutajwa jina
Kumjibu inaonekana alibana kwa wengi sio mb Dogg tu
Kubaniana sio mpango
 
Ndio maana domo aliona kuna haja kuweka share kwenye media yake, bongo when you are powerful watu hawataku kujifunza umefikaje ili nawao wafike what they will definitely do ni kukuangusha ili wote tuwe sawa....down aka tukose
 
Back
Top Bottom