Sallam SK amefuta taarifa zinazomuonesha kama Manager wa Diamond Platnumz

Gentleman96

JF-Expert Member
Joined
Mar 12, 2019
Posts
912
Reaction score
1,670
Mambo vipi?
.........
Label ya muziki Tanzania, WASAFI ( WCB)
ni label kubwa sana hapa bongo,lakini pia imekua na matukio mengi mazuri na mabaya Kuhusu management nzima.

Leo jamaa Salam SK amefuta taarifa zinazomuonesha kama Manager wa Diamond Platnumz

Na Diamond Platnumz pia ameweka mawasiliano ya booking direct kwake tofauti na zaman ilikua upitie kwa Salam SK

Pengne jamaa kajiondoa au kafukuzwa WCB,
Unakumbuka kwa Harmonize ilkua hivi hvi?



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi mpaka Leo Kuna watu Wana muda wa kufuatilia Mambo ya watu wengine.... Mambo ambayo hayawaongezei chochote Cha maana katika maisha yao. Dahh!!! Very Sad.
 
Hivi mpaka Leo Kuna watu Wana muda wa kufuatilia Mambo ya watu wengine.... Mambo ambayo hayawaongezei chochote Cha maana katika maisha yao. Dahh!!! Very Sad.
We mwanamke gani ambaye hupendi umbea?
Ikija upande wetu hivi vitu vina raha yake na ukishaanza huachi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…