Sallam SK amefuta taarifa zinazomuonesha kama Manager wa Diamond Platnumz

Sallam SK amefuta taarifa zinazomuonesha kama Manager wa Diamond Platnumz

Ahaa ila si shangai unajificha kwenye shamba la mchicha unazani hatukuoni.

We juzi kati si umezileta za chini ya kapeti kwamba kuna kionjo cha Single mpya ya Kiba,bila kusahau ulikuwa unaipromoti single mpya ya K2GA au sio ww nimekufananisha.

Wewe utakua unajua kuhusu AlikibaTv,ila kwa kuwa hupendi show off umeamua kukaa kimya.

[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Mkuu Mimi Nasapoti msanii yoyote hapa Bongo Sina ubaguzi
 
Mkuu Mimi Nasapoti msanii yoyote hapa Bongo Sina ubaguzi
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Kweli Kabisa hata mimi naona labda kuna mtu atakuwa kahack account yako JF.
Wasanii walio chini ya label ya WCB hawana mashabiki wala uwezo? - JamiiForums
Hii imedhiirika baada ya wasanii kadhaa kujitoa WCB mashabiki waliokua wanawatukuza na kuwapaisha kua ni wasanii wakali na watunzi wazuri wa mashairi, mashabiki hao hao ndo wanaongoza kwa kuwaponda na kuaminisha uma kua hawajui kuimba wala kutunga.

Je, wasanii wa WCB ni kweli kua Uwezo Wao ni mdogo na ni Wasanii wa wakaida Wanatoboa kwa upepo wa Diamond wanatoa nyimbo za kawaida ila zinapaishwa na mashabiki wa Diamond hata izo view za YouTube ni kua wanamsapot Diamond na si uwezo wa msanii husika?

Au ni kweli kua pale WCB wanatumia nguvu za giza (UCHAWI) kumpaisha msanii?

Fans wa WCB walioaminisha watu kua Harmonize ni mkali na msanii mwenye uwezo mkubwa ndo hao hao wanaotumia nguvu kubwa kuawaaminisha watu wamuone Harmonize si lolote na si chochote ni msanii mwenye uwezo mdogo.

Hilo linadhiirisha maneno ya wataalam wa burudani kua fans wa WCB hawajui mziki ni bendera fata upepo mashabiki UCHWARA na hawana msimamo wao wanashabikia mtu (DIAMOND) na si muziki mzuri.

Kwanini Team WCB hamtaki kukubari kua uwezo wa Diamond kiutunzi umeshuka na mmebaki kumsapot kwa mahaaba, hamuoni kama mnapoteza?

ukitaka kujua kwamba Kayumba ni Msanii mkubwa zaidi ya Rayvany na Mboso nje ya WCB wafanye maigizo kua wamejitoa WCB na wafanye mziki kwa Miezi 6 nje ya WCB hao hao fans wa usafini ndo watakao walaza kifo cha mende.

Ndo maana wajanja wamejitoa ili kutengeneza Himaya yao.

Tumekubaliana kua follows na subscriber wa akina Mboso na Rayvany ni wa Diamond na wao ni kama mabeki 3 wa ndani akitimuliwa anaondoka bila kitu.
 
Me ni mmoja wa fan wa kiba kwenye mziki wake sema anakiangusha nje ya mziki wake kwenye kipaji namzungumzia vizuri nje hapo simzungumzii vizuri kwa sababu Hana vitu vizuri vya kumzungumzia ikiwemo hajui kujibrand n.k

Wewe na huyo jamaa wote hamko objective. Kama mnalipwa ni vizuri, ila kama hamlipwi mtakuwa watu wa ajabu sana.
 
Hivi mpaka Leo Kuna watu Wana muda wa kufuatilia Mambo ya watu wengine.... Mambo ambayo hayawaongezei chochote Cha maana katika maisha yao. Dahh!!! Very Sad.
Kuna watu ndiyo raha yao kufuatutilia maisha ya watu,ndiyo maana magazeti ya udaku yanauza sana
 
Back
Top Bottom