Gullam
JF-Expert Member
- Dec 1, 2013
- 5,239
- 3,933
Soma vizuri bwana!!Inakuwaje kuwa mke 1987 na kufunga ndoa 1961. Watoto je
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Soma vizuri bwana!!Inakuwaje kuwa mke 1987 na kufunga ndoa 1961. Watoto je
Neno sahihi ni asili na sio hasili,Mkuu Naomba nirekebishe kama nimekosea
Nashukuru mkuu,,ujinga wangu mimi waki maandishiNeno sahihi ni asili na sio hasili,
Kama wewe ni mtanzania uliyesoma kuanzia shule ya msingi na sekondari hapa hapa Tanzania AIBU YAKO, kama ulijifunza tu Kiswahili ukubwani hukusomea hapa basi nafurahi kuwa nimefanya wajibu wangu kukurekebisha.
Tuko pamoja, kukosoana na kurekebishana ni muhimu kwa afya ya binadamu,Nashukuru mkuu,,ujinga wangu mimi waki maandishi
Kuna wa San na mbilikimo ambao hawapo katika makundi uliyoyataja na walikuwepo Afrika sehemu nyingi kabla hata wabantu hawajafika.Ana hasili mkuu jarib kuandika vzr
Ila ukweli africa ina watu watatu
Wakush wabantu na wanilote
Hakuna mtu nje ya apo na almost maeneo meng watu wamevamia hakuna mtu mwenye asili ya haki kutok sehem alipo bali sehem alipozaliwa
PinchiiiiiiUmeniwahi aisee! Nilitaka kuandika kama uliyoyaandika.