Elections 2010 Salma Kikwete awasili Arusha Kuokoa Jahazi.

Elections 2010 Salma Kikwete awasili Arusha Kuokoa Jahazi.

PakaJimmy

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2009
Posts
16,199
Reaction score
8,761
Katika hali inayoonysha maji kuwa ya shingo, Mama Salma Kikwete amewasili Arusha ASUBUHI HII kutokea Dar kwaajili ya kujaribu kuwahamasisha wakazi na wanawake wa Arusha wamchague Batilda...Habari zinasema kuwa ameingia kwa ndege ya serikali, na msafara wake mdogo ulipita mtaani tokea uwanja wa Ndege, ukiwa na wanaccm wachache wenye t-shirt na kofia MPYA!
 
Du! Huyu sasa ni kiguu na njia. Jana alikuwa moro pia akakutana na wamama wa njano na kijani mida ya saa 5 asubuhi.
 
hahhahahahahaha,kazi wanayo mwaka huu.
duh,na wakishinda nahisi watahamia marekani kula bata kwanza maana mchaka mchaka haukuwa mdogo mwaka huu
 
Hana lake huyu Mama tena kesha choka mbaya. Hivi hii ndoa ipo kweli kwani kuna uwezekano kwa miezi mitatu hawajakaa kujadili mambo ya kifamilia au ndo wamefanya nchi kama sehemu ya familia. Hiki ni kichekesho ni wakati wa kuwanyanganya nchi yetu akina Rizi1, salma na JK
 
Katika hali inayoonysha maji kuwa ya shingo, Mama Salma Kikwete amewasili Arusha ASUBUHI HII kutokea Dar kwaajili ya kujaribu kuwahamasisha wakazi na wanawake wa Arusha wamchague Batilda...Habari zinasema kuwa ameingia kwa ndege ya serikali, na msafara wake mdogo ulipita mtaani tokea uwanja wa Ndege, ukiwa na wanaccm wachache wenye t-shirt na kofia MPYA!

Eti ana ndoto ya kuwa Ellen Jonson Sirleaf wa Tanzania.

Full kufulia.
 
Duuu, naomba nisikutane nae barabarani maana siku yangu itaharibika yote !!!!!!!
 
Anapaswa awemakini sana maana hapa arusha watu wanataka mabadiliko tu...
 
Hana lake huyu Mama tena kesha choka mbaya. Hivi hii ndoa ipo kweli kwani kuna uwezekano kwa miezi mitatu hawajakaa kujadili mambo ya kifamilia au ndo wamefanya nchi kama sehemu ya familia. Hiki ni kichekesho ni wakati wa kuwanyanganya nchi yetu akina Rizi1, salma na JK

Mkuu Gerad2008

Ndoa ya nini, maslahi kwanza, halafu si unajua mambo ya Sh...ka kwa Shu...ka
 
Anapaswa awemakini sana maana hapa arusha watu wanataka mabadiliko tu...

Sina uhakika na mambo mengi, lakini at least naweza kufahamu kwamba mama huyu hatakaa Arusha kama ambavyo huenda alipanga, maana mazingira yameshakataa!
 
Halafu nyie urais ni issue ya kifamilia inabidi mtukome kabisa...inaelekea nyie CHADEMA eh! Waego mama usisahau kupitia kwenye shuka langu kwenye ile kampaini ya mtu kwa mtu na kitanda kwa kitanda...nilikuona usipovaa kilemba unapendeza
 
Katika hali inayoonysha maji kuwa ya shingo, Mama Salma Kikwete amewasili Arusha ASUBUHI HII kutokea Dar kwaajili ya kujaribu kuwahamasisha wakazi na wanawake wa Arusha wamchague Batilda...Habari zinasema kuwa ameingia kwa ndege ya serikali, na msafara wake mdogo ulipita mtaani tokea uwanja wa Ndege, ukiwa na wanaccm wachache wenye t-shirt na kofia MPYA!
ha ha ha!
watajibeba hao sisiemu
 
Hivi wewe JK na familia yako mbona mna kiherehere saaana cha kubaki hapo ikulu mnataka muwafanyie nini Watanzania? Acheni upuuzi huo, hiyo ikulu hamkujengewa nyie, mpaka mnafikia hatua ya kuhatarisha amani ya nchi. Uliaminiwa kwa miaka mitano na kazi imekushinda sasa unatakia nini tena kubaki hapo?TUMEKUCHOKENI, ONDOKEEENI!!!!!!!
 
uwwwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii

embu mwambien aondoke ndiyo anazidi kutuchafua

uwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
 
huyu mama hajui kweli kusoma alama za nyakati, akina mama wa arusha sio waku wadanganya na sukari na chumvi au t-shirt, na kofia, pia ajue machali wengi wanahasira za tanzanite yao kuchotwa na mafisudi, ambao wanalindwa na jk wa uongo, hizi hadithi za kiukoo na utapeli sijui au peleke wapi, watu wameisha jua wana thaminika wakati wa uchaguzi tu ukiisha , ni matusi ya nguoni kutoka kwa mtu uliye mpa kura yako, iwe ilikuwa kidini au kihalali.
 
huyu mama hajui kweli kusoma alama za nyakati, akina mama wa arusha sio waku wadanganya na sukari na chumvi au t-shirt, na kofia, pia ajue machali wengi wanahasira za tanzanite yao kuchotwa na mafisudi, ambao wanalindwa na jk wa uongo, hizi hadithi za kiukoo na utapeli sijui au peleke wapi, watu wameisha jua wana thaminika wakati wa uchaguzi tu ukiisha , ni matusi ya nguoni kutoka kwa mtu uliye mpa kura yako, iwe ilikuwa kidini au kihalali.

Kamwe sitakubali Salma aonane na mke wangu.
 
Back
Top Bottom