Najua kwamba Salma Kikwete ni mke wa Rais J.M.Kikwete kinachonisumbua ni nafasi yake katika utumishi wa Umma maana mama huyu amekua akifanya ziara nyingi nchini sijui ni za kiserekali, binafsi au za chama na kila alipoenda amepokelewa kwa hadhi ha kupewa ulinzi na kupewa taarifa za utendaji wa serekali na wakuu wa mikoa na wilaya.
Hilo linanisumbua anapewa taarifa hizo kama nani ? Uraisi ana ubia nani anajua tuliangalie pia gharama za ziara zinatokana na kodi zetu ? Mimi sijui maana waliomtangulia hawakua na vituko kama salma jana alikua anahutubia mkutano wa hadhara Tarime chini ya ulinzi mkali wa askari wa FFU
Hilo linanisumbua anapewa taarifa hizo kama nani ? Uraisi ana ubia nani anajua tuliangalie pia gharama za ziara zinatokana na kodi zetu ? Mimi sijui maana waliomtangulia hawakua na vituko kama salma jana alikua anahutubia mkutano wa hadhara Tarime chini ya ulinzi mkali wa askari wa FFU