Elections 2010 Salma: Ushindi wa Kikwete 2010 haukuwa na dosari

'Siasa za chuki zinazoendeshwa...'
Hivi kuna siasa za chuki kuliko za mumewe! Wakati ule m-kwere anawazushia wenzake kina Salim huyu alikuwa mke wa nani? Kweli ukiwa mshirikina utamdhania kila mtu kuwa ni mshirikina! Siasa za chuki anazo m-kwere, ajabu huyu mama anajifanya haoni!
 


By In2EastAfrica - Mon May 30, 2:26 pm


First Lady Mama Salma Kikwete


First Lady Salma Kikwete has called on ruling Chama Cha Mapinduzi (CCM)’s Women Wing (UWT) to stand firm and condemn slanderous remarks uttered by leaders of opposition parties against CCM.

Speaking with UWT members in Dodoma region recently, she said UWT had a right to defend their party against the untoward remarks.

“You should not keep quiet because you too have a right to respond to anything said about your leaders and party since the government belongs to everybody,” she said.

The first lady said she hated the type of politics conducted by opposition party against the ruling party and its government. She explained that what the opposition party was doing was to spread false rumours and convince the world that they won last year’s general election.

“They want to tell the world that they won the general election. The opposition party won by 20 per cent, did that percentage make it really win?” she asked.

She asked if CCM got 60 per cent how come the rival party which obtained only 20 per cent could claim victory? She said such claims might just cause hatred and instigate chaos in the country.

She explained that CCM had no time to engage in empty debate but would rather concentrate on bringing about development to people.

She said ongoing reforms in the party did not aim at removing any old members from the party but only at striking a balance between old and new members so as to help the party move forward with renewed ferocity.
Source The Guardian
 
Mama gani asiye na huruma. Mimi najua wanawake ni watu wenye mioyo ya huruma naturally, sasa huyu asiyejua matatizo ya watz katoka wapi, nawashangaa hao waliokuwa wakimsikiliza na kumpigia makofi. Ndi hao wakipewa doti ya khanga wanapoteza network

Alimhurumia Babu Seya au?x
 
Mtu wa namna hiyo huwa wanamwita DOMOKAYA, na hata ukiangalia mdomo wake ndio uko hivyo.
 
ww mama kuwa makini sana ma matamshi yako na uwe muoga kama kama mume wako alivyokuwa muoga siku ya mdahalo juu ya maswali aliyokuwa anaulizwa uku mkutano wakiwa wameuandaa wenyewe na mamlukiwao wa kuuliza maswali lakin bado aliogopa
 
anatafuta mitusi ya nguoni hapa watu tupewe ban...akae kimya tu asifikiri tumesahau mambo aliyotufanyia na mumewe
 


chakachua mama wewe na riz1 subiri 2015 au nguvu ya uma ikiamua ukajifiche kwenu "mikumbi lindi"
na daktari wa rais sheikh yahya ndiyo hivyo tena tutajua mbivu na mbichi tu wee subiri kama hukuwahi "ngende"
 
we mwalimu kaaa kimyaa kodi yangu inakufanya uishi hapo ikulu plse usituchefue tukakutoeni hapo!
 
Kiingiacho kwa hila kitatoka kwa hila, nafsi zao zinawasuta mioyoni mwao ndo maana wanakuwa wanyonge, na hiyo ni adhabu tosha .
 
Yeye mwenyewe anajua jinsi walivyochakachua, Mwanahalisi ilionyesha gari la serikali alilotumia musoma ikiwa imebanduliwa namba wakaweka za binafsi lakini wakasahau kwamba namba ziliandikwa pia kweye vioo ! Sasa huyu mama anamwongopea nanai wakati yeye mwenyewe alishiriki uchakachuzi kivitendo?
 
Mnategemea aseme nini zaidi ya aliyozungumza? Ni mropokaji mzuri tu huyu dada. Ebu muulize ana hakika ya anachokisema? hakika wengi watakutana na hukumu ya Mungu!
 
Mti mbovu huzaa matunda mabovu..na matunda nayo hutoa mbengu mbovu.Huyu mama ana mamlaka gani ya kuongelea uhalali wa matokeo ya uchaguzi Tanzania?yeye ni kiongozi wa chama gani hapa Tanzania?kama hata mahakama zinazuiliwa kuongelea matokeo ya uchaguzi,yeye anatumia ibara gani ama ndo 'kambare kingdom' ya (BMW)
 

Afu we ungejua unaniudhi kumkumbatia sista kwenye iyo avatar yako ucingeongea kitu.
 
Mnategemea aseme nini zaidi ya aliyozungumza? Ni mropokaji mzuri tu huyu dada. Ebu muulize ana hakika ya anachokisema? hakika wengi watakutana na hukumu ya Mungu!

Ivi wale watoto wa shule ya msingi kule Bunda walimwonyesha vidole viwili! Au kimoja cha kati?
 
Kwanza ningependa kumuuliza huyu mama tangu uchaguzi ulipiisha alikuwa wapi mbona hakusikika tena leo ndio anakurupuka, kwa kifupi huyu mama hata chuo cha ualimu aliposomea alifeli alipitishwa tu kwa kuwa ni mke wa mkubwa so kwa mantiki hiyo hiyo siwezi kusema lolote kwani uelewa wake kwanza ni mdogo mno.
 
Napenda kumshauri huyu mama tena akome kutumia mali za walipa kodi kuhubiri asichokijua.yeye atulie ale na alale vinginevyo atajuta.
 
Mwanzoni mwa mwaka 2006 mama huyu alipakiwa sana na marehemu Amina Chifupa kuhusu maneno yake yasiyokuwa na busara.
 
Naombeni niulize?mwaka 2000 nasikia aliwah kuwa kichaa kutokana na kumkosa mp..wk babu sea et wan jf nsaidien?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…