Salome Binti aliyehatarisha maisha yangu, baada ya miaka 8 nimekutana naye tena

Simulia mkasa wote wote bila kufichaficha '' jf iz a platform where we dare 2 talk openly
 
2012 harrier tako la nyani ilikuwepo? Alphard je?
Mi nakumbuka time hiyo verosa na Alteza ndio wababe wa mji
 
Mkuu kama ulipanda alphard miaka 8 iliyopita bas wew, bas we ndo member wa kwanza hapa JF kuipanda hap bongo, nadhan umensoma
 
2012 harrier tako la nyani ilikuwepo? Alphard je?
Mi nakumbuka time hiyo verosa na Alteza ndio wababe wa mji

Wewe ndio unaonekana magari umeyajua juzi.

Kwa hiyo ukiona magari yakiletwa huku Bongo ndio unafikiri kuwa ni mapya au yametengenezwa mwaka huu au mwaka jana
Magari mengi hapa bongo ni ya mwaka 2010 kurudi nyuma.

Harrier tako la nyani 2012 ipo ingia humo ujionee Used 2012 TOYOTA HARRIER/ACU30W for Sale BH652296 - BE FORWARD
 
Mkuu kama ulipanda alphard miaka 8 iliyopita bas wew, bas we ndo member wa kwanza hapa JF kuipanda hap bongo, nadhan umensoma

Mkuu hayo Magari yapo mengi ni sawa na
BMW X6
Mara ya kwanza kulipanda ni 2011, alafu kuna mtu atasema ni uongo halikuwepo, kumbe yeye ndio hakuwaa na hela wala ndugu wanaomiliki magari ya dizaini hiyo
 
Samjo
 
We jamaa muongo kichizi, eti nikapiga denda alafu nikashuka kwa handaki, hahaha
 
Mkuu nisamehe tu ila kama ni kweli basi ipo salted.
Wee acha tuu, nilikuwa naongea na Salome wiki illiyopita alijaribu kuniomba radhi akitaka nimuoe lakini nimekataa
Ulipoteza kiungo gani?

Salome ulifanikiwa kula tunda?

Kwanini ulikataa kumuoa nahuku umemnadi kuwa ni mzuri? Nipe mimi nimuoe
 
Ulipoteza kiungo gani?

Salome ulifanikiwa kula tunda?

Kwanini ulikataa kumuoa nahuku umemnadi kuwa ni mzuri? Nipe mimi nimuoe
Afu elezea kilichokukuta baada ya hapo, ambacho hata matukio ya kwanza ni nafuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…