Hazchem plate
JF-Expert Member
- Feb 25, 2011
- 11,048
- 15,465
pole sana hii story umeiandika kiustadi sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji116][emoji116][emoji116]Mwaka 2012 kulikuwa na Alphad hii aina ya gali hii ilitoka mwaka 2012 mhhh sawa kiongozi endelea?
Hiyo babake Salome sio huyu mzee naniliu?![emoji854]Duh aiseeee kama ni kweli najiuliza baba salome hajifikirii nae ni binadamu atakayefukiwa chini futi za kutosha daah
Salome ametumikaSalome alikuwa bikira?
Umepoteza mguu wa tatu?Dushelele ya kiba au?😛😛
Nipe namba ya SalomeUzi wenyewe nimeandika machozi yakinitoka, keyboard yote tepetepe kwa jasho.
Kasie mama wa Haja
Mama wa shughuli
Kasie mzinga wa asali
Hatari sana. Kama star kwenye movie, walipofika tu maeneo ya kushukia jamaa wakaja kwa kasi. Alitoroshwa kupitia handaki na ni usiku ila walinzi hawakuwaona wala gari iliyokuwa inawasubiri nje.Kwenye apartment za washua Kumbe kuna Hadi (karungu yeye).
eti wakati mnatoroka mkanyonyana denda aaah asee
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Boss hujanipatia kitafunwa hapa meza ya pili kutoka nyuma nimevaa jezi ya manyuu ya pundamiliaView attachment 1651485