Mtoto wa Baba
JF-Expert Member
- Sep 1, 2018
- 3,123
- 4,023
Kubali umuoe Salome mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haina ukweli wowoteDuh aiseeee kama ni kweli najiuliza baba salome hajifikirii nae ni binadamu atakayefukiwa chini futi za kutosha daah
Ni kweli.Hujanikosea, unajua kuna mambo yakikutokea unaweza fikiri ndoto pengine hujawahi kukutana nayo, ila usiombe.
Sembuse kumhadithia mtu ataona unazingua tuu
Yaani tena isiyo n akitafunwa, haikuchukua para mbili kujua kuwa tunanyweshwa chai bila vitafunwa.Boss hujanipatia kitafunwa hapa meza ya pili kutoka nyuma nimevaa jezi ya manyuu ya pundamiliaView attachment 1651485
Acha tu mkuu..Utumbo utumbo tu,
[emoji3][emoji3]yaani hata hiriki hakuna piaUmesahau kuweka tangawizi !
[emoji3][emoji3][emoji3]kmmkSalome wa anayekuomba msamaha vs salome wa simuliziView attachment 1651567
[emoji3][emoji3] imagineMtu kashiba zake ugali anaanza kutupa hadith za uongo
Harrier zilikuwepo tangu 2009 ila hazikuwa popular but alfard ilikuwa badoSi mtaalam sana wa Magari ila sina uhakika mwaka 2012 Alphard na Harrier tako la nyani zilikua zishaingia mjini Dar
Ila si wakishua inawezekana 0km zilikua
Hapa ndio nikaelewa kuwa hii ni simuliziWee acha tuu, nilikuwa naongea na Salome wiki illiyopita alijaribu kuniomba radhi akitaka nimuoe lakini nimekataa
Mwaka 2012 kulikuwa na Alphad hii aina ya gali hii ilitoka mwaka 2012 mhhh sawa kiongozi endelea?