Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
PoaMwenyewe nimezipenda ndo nataman kupata salon wanieke hivo
Hiyo mawimbi Ni wave, alafu Kwenye kuchana ndo kazivuta kidogo hivyo,Poa
Lakini nywele kaweka blch
Sasa hayo mawimbi sijui ni mirija au kapaka wave
[emoji23] [emoji23] [emoji23] kichwa mjate ndo kipoje mkuu?urembo wa nywele kwa binadamu unatokana na kichwa chako
kuna kichwa mviringo, kichwa box, kichwa mjate, kichwa nazi, kichwa apple
ni bora mpelekee kinyozi yeyote hata wa kiume watakunyoa utakavyo ndipo uende saloon za kike kuweka weaving
ooh sorry unajua tena visimu vya smartphone vya mchina unaandike nayo Emoji inasahihisha[emoji23] [emoji23] [emoji23] kichwa mjate ndo kipoje mkuu?
Mwenyewe nimezipenda ndo nataman kupata salon wanieke hivo
Nenda saluni za kawaida za wanaume
. kama we ni mdada utatamani
wasimalize kukunyoa lols....
CL halafu nakutafuta.. nilipoteza namba zakoKaribuni chamani...
[HASHTAG]#TeamKipara[/HASHTAG]....
Asante dearNenda BM saloon, moja iko Kinondoni nyingine Sinza.. mie wakati
ndio nanyoa nilienda huko, nikawa nazionea huruma nywele zangu
ila wao wanakuhandle fresh..... pia kuna saloon moja iko hapo Victoria
barabarani tu pale... nimeisahau jina wako vizuri.. kama we ni mdada utatamani
wasimalize kukunyoa lols....
Karibu team natural/rough dreads