Usifunge kwa mtu afanye yake kwa muda analipia kodi ya fremu kwako maana wewe umeshalipa na akupe helankidogo tuNi kweli mkuu kwa mazingira ya hapa Kwanza sijaoa na rafiki wa karibu hapa Sina mkuu nimenasa Sana.. Wazo langu nifunge tu Kwanza..
Mkuu ni kweli ila ukifungua biashara fulani unawaza na nyingine na huwezi kufanya zote mwenyewe lazima utafute watu wakusaidie hapo ndo unapoanza utata.
Usifunge kwa mtu afanye yake kwa muda analipia kodi ya fremu kwako maana wewe umeshalipa na akupe helankidogo tu
Tumia 90% ya muda wako kwenye eneo lako la biashara,huo ndio uchawi pekee hakuna mtu miaka hii anaye weza kuisimamia biashara yako kama wewe unavyoweza kuisimamia,ingawa pia huyo jamaa yako usimlaumu Sana unaweza kuta kibinadam kina vitu ana lack katika kukifanya biashara iende mbele yaweza kuwa muda gani ameutumia hapo,skill yake yaani ananyoaje watu,customer care yake ikoje ukimpata mtu kaa nae mfanye biashara pamoja kabla hujamuacha inaweza saidia usikate tamaa hakuna kitu kizuri hakina changamoto,huna haja ya Kufunga biashara yako
[emoji23][emoji23][emoji23]Biashara za kumpa mtu ni taabu sana, hawezi jali biashara na pia kipato kinacho patikana anajiwekea yeye tu ,
Biashara inayo ishi kwa faida nzuri ni ile inayosimamiwa na mwenye biashara tu moja kwa moja , vinginevyo ni kilio tu
Au kama vipi funga camera tu mzee
Weka CCTV camera hapo wateja wote watakaoingia itakua inawarekodi so wewe utakua unajua idadi ya watu walioingia na wakapata huduma ya aina gan kila siku....kama ungeweza kyiweka kwa siri jamaa asiione ingekua poa zaidNimefungua saloon miezi miwili nimekaa mwenyewe nimepata zaid ya laki 3.. Cha Ajabu wiki ilopita nimemweka mtu mimi nilisafiri narudi sikuti hata Mia,,
Lengo langu nifanye biashara nyingine lakini nilichokiona kwa huyu jamaa Sina hata Hamu na Leo nimemstopisha Mara 1,,
Naombeni ushauri Kuna biashara nataka nianze natakiwa niwe nasafiri safiri Sasa huyu jamaa kanitia stress Sana Leo.. Asanteni