Salum Hamdun: Hakuna miundombinu ya reli Kilimanjaro iliyoharibiwa

Salum Hamdun: Hakuna miundombinu ya reli Kilimanjaro iliyoharibiwa

chakii

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2013
Posts
20,834
Reaction score
26,217
Kama ilivyoripotiwa na mkuu wa Wilaya ya Hai, Ole Sabaya kuwahusisha wafanyabiashara wa mabasi siku chache zilizopita, uchunguzi umebainisha taarifa za Mkuu wa Wilaya hazikuwa na Ukweli.

My take ; Ole Sabaya unapaswa kuomba msamaha na kuwalipa faini uliowatuhumu


Chanzo: ITV

Pia soma > Hai: DC Sabaya aagiza wamiliki wa mabasi kukamatwa kwa tuhuma za kuhujumu miundombinu ya Reli Dar-Moshi

Maswali muhimu ya kujiuliza


Kutokana na hili maswali ni

Je, anafanya haya kwa lengo gani?

Ni mambo haya haya ya siasa?

Haya anayooneshaga runingani kuhusiana na taarifa za aina hizi nayo ni uongo?

Kutokana na hili tu, hapaswi kuwajibika?

Tunataka viongozi wa kutuletea maendeleo na si wenye lengo la kukomoa na kuumiza wananchi.

Wafanya biashara wa mabasi unganeni
 
Yaani umeandika tu bila hata reference yoyoye, hayo umeyatoa kichwani au?
 
Ole sabaya hahaha adabu, hata mama Mghwira anamvumilia tu..kimsingi Kamanda Hamduni kamvua nguo..nimecheka kwa nguvu Sana..halafu mwishoni nikamuona Kippi warioba Ana Sifia ukarabati wa reli..hapa yaelekea Sabaya hazipandi Wala kuiva na Kippi no wonder ameamua kutumia nafasi yake kumvua nguo yule pungasese Sabaya..ajitathmini Sana ..leo Kenge lugola analala akiwa na rundo la mawazo, shauri yake!
 
Kwa kauli ya RPC kilimanjaro,inatakiwa DC wilaya ya Hai awajibike kwa kujiuzulu Mara moja. Ikiwa ni pamoja na kushitakiwa na kuwalipa wafanyabiashara aliowaharibia na kuwachafua fidia.
Kabisa mkuu, watu kama hawa hawatakiwi kulelewa kabisa ! Akiachwa hivihivi haya mambo yataonekana ya kawaida na inaangamiza biashara na majina ya watu

Sent from my SM-J700H using Tapatalk
 
Ole sabaya hahaha adabu, hata mama Mghwira anamvumilia tu..kimsingi Kamanda Hamduni kamvua nguo..nimecheka kwa nguvu Sana..halafu mwishoni nikamuona Kippi warioba Ana Sifia ukarabati wa reli..hapa yaelekea Sabaya hazipandi Wala kuiva na Kippi no wonder ameamua kutumia nafasi yake kumvua nguo yule pungasese Sabaya..ajitathmini Sana ..leo Kenge lugola analala akiwa na rundo la mawazo, shauri yake!
Halafu Hai treni inapita ya Abiria? Treni ya Abiria inaanzia DSM to Moshi Mjini wilaya isiyo ya Ole. Kipande kinachokatiza Hai kwenda Arusha bado kupitisha treni ya Abiria. Nia ilikuwa kuichafu familia ya Mbowe tu. Watu wa Hai Wanaenda Maendeleo hawawezi kuharibu treni ili Magari Yao yapate Abiria
 
Huyu DC ana matatizo.. Sijui Mh. Rais haoni matatizo yake au?? Hili sio tukio la kwanza la huyu jamaa. Yapo mengi ya aibu lakini hatuoni akichukuliwa hatua

Sent using Jamii Forums mobile app

Kipimo cha utendaji wa rais kwa wateule wake ni kuona wakiwanyanyasa wapinzani. Ukitaka uendelee kukaa madarakani hata ukifanya ujinga wa aina gani, wanyanyase wapinzani. Huyo Sabaya na viongozi wengine wa aina yake wameshamjulia mteule wao hivyo wanafanya watakavyo, na wanatumia hiyo fursa ya serikali hii kuwanyanyasa wananchi ili kujipatia rushwa kwa vitisho toka kwa wananchi.
 
Nilisema tangu juzi hili linawezekana kweli?mmiliki wa mabasi mfano machame awe na akili hiyo licha ya gari zake kua na sifa nzuri na jina zuri ktk biashara?nili doubt mapema kua hapa itakua ni kupakana matope tu

Sent using Jamii Forums mobile app

Siasa chafu huyo mvuta bangi anafanya hapo Hai.
 
Back
Top Bottom