Simba Stars na Akili mbovu za Mashabiki wa Yanga.....
1:Kakolanya....Huyu aliitwa ila amekuwa majeruhi na pia asingeweza kuchukua namba mbele ya Manula.
2:Juma Abduli....ni mzuri ila uwezo wake kwa sasa umeshuka sana huwezi kumlinganisha na kapombe....
3:Hajji mwinyi....Yanga wenyewe hawamwamini ndio maana wanataka kumsajili Gadiely michael sasa kama nyie Yanga hamumuamini kijana wenu mnataka mayanja amwamini...?
4:Yondani....Jamaa ameshuka kiwango huwezi kumuacha Nurdin chona....Salum Mbonde na Erasto nyoni kwa ajili ya Yondani
5:Canavaro....Amestafu timu ya Taifa angekuepo nadhani hata mimi ningegundua matatzo ya mayanja.
6:Makapu....Kama ameachwa mkude Ndemla kaitwa juzi na hajatumiwa mnataka Makapu aitwe wakati kiungo bora wa chini ambaye ni mkude kaachwa....akili zenu mbovu
7:Mwashiuya....Unaanzaje kumuita mchezaji anayesugua benchi ukamuacha mtu kama Kichuya...?
8:Emmanuely martini....Yanga anasugua Benchi timu ya nani ya Taifa inayowaita wasugua Benchi..?
9:Kaseke....huyu kijana ni mchezaji mzuru sana lkn amemuharibu Lwandamila kwa kumsugilisha Benchi
10:Matheo Antony....Yanga wenyewe mnajua kuwa huyu ni Garasa
11😛ato Ngonyani.....Yanga wenyewe mnamtema je mnataka Mayanga amuite timu ya Taifa amuache mzamiru Yassin
12:Ibrahimu Ajibu....Ameachwa akiwa bado yupo Simba
.....Hv nyie vyura Mkude....Ndemla na Mo Ibrahimu wangekuwa wachezaji wenu alafu waachwe c Mungemuua Kocha nyie.....
Mnataka tuwaite Chirwa...Ngoma...Bosou...Tambwe na Twite..?
Acheni fikra mgando nyie Gongowazi.