Uchaguzi 2020 Salum Mwalimu (CHADEMA) amnadi Ado Shaibu (ACT Wazalendo) Tunduru

Uchaguzi 2020 Salum Mwalimu (CHADEMA) amnadi Ado Shaibu (ACT Wazalendo) Tunduru

dubu

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2011
Posts
3,502
Reaction score
3,483
Akiwa kwenye mkutano Tunduru, Mgombea Mwenza wa CHADEMA aliwauliza wananchi Kati ya Mgombea wa ACT Wazalendo (Ado Shaibu) na wa Chadema (Ndugu Undi) nani wanamkubali, wananchi wote kwa pamoja wakajibu Adooo!

Salum Mwalimu akawaita viongozi wa Chadema wa Wilaya "watafakari" mwitikio huo wa umma. Wakasema wameona na wataheshimu matakwa ya umma. Mgombea wa Chadema alipopewa nafasi alitangaza kujitoa na kumhakikishia Ndugu Salum Mwalimu kuwa atashirikiana na Ado kuhakikisha anashinda Ubunge.
 
Akiwa kwenye mkutano Tunduru, Mgombea Mwenza wa Chadema aliwauliza wananchi Kati ya Mgombea wa ACT Wazalendo (Ado Shaibu) na wa Chadema (Ndugu Undi) nani wanamkubali, wananchi wote kwa pamoja wakajibu Adooo!

Salum Mwalimu akawaita viongozi wa Chadema wa Wilaya "watafakari" mwitikio huo wa umma. Wakasema wameona na wataheshimu matakwa ya umma. Mgombea wa Chadema alipopewa nafasi alitangaza kujitoa na kumhakikishia Ndugu Salum Mwalimu kuwa atashirikiana na Ado kuhakikisha anashinda Ubunge.
View attachment 1593945
What a great & bravery move.
 
Akiwa kwenye mkutano Tunduru, Mgombea Mwenza wa Chadema aliwauliza wananchi Kati ya Mgombea wa ACT Wazalendo (Ado Shaibu) na wa Chadema (Ndugu Undi) nani wanamkubali, wananchi wote kwa pamoja wakajibu Adooo!

Salum Mwalimu akawaita viongozi wa Chadema wa Wilaya "watafakari" mwitikio huo wa umma. Wakasema wameona na wataheshimu matakwa ya umma. Mgombea wa Chadema alipopewa nafasi alitangaza kujitoa na kumhakikishia Ndugu Salum Mwalimu kuwa atashirikiana na Ado kuhakikisha anashinda Ubunge.
View attachment 1593945

Kuna tatizo kwani? Au kuna mtu anateseka?
 
Piga spana kwa Wasaliti wa Nchi Lissu atapigiwa kura na robert [emoji3]
Hakuna lolote muwe wavumilivu nyie ma ndondocha ya cccm na neccm na Polisiccm muwe wavumilivu tutakapo chora vikatuni vya Bwana yule akifoka
 
Huu ndiyo ukomavu wa kisiasa. Hongera CHADEMA na ACT WAZALENDO.
Akiwa kwenye mkutano Tunduru, Mgombea Mwenza wa CHADEMA aliwauliza wananchi Kati ya Mgombea wa ACT Wazalendo (Ado Shaibu) na wa Chadema (Ndugu Undi) nani wanamkubali, wananchi wote kwa pamoja wakajibu Adooo!

Salum Mwalimu akawaita viongozi wa Chadema wa Wilaya "watafakari" mwitikio huo wa umma. Wakasema wameona na wataheshimu matakwa ya umma. Mgombea wa Chadema alipopewa nafasi alitangaza kujitoa na kumhakikishia Ndugu Salum Mwalimu kuwa atashirikiana na Ado kuhakikisha anashinda Ubunge.
View attachment 1593945
 
Back
Top Bottom