Valencia_UPV
JF-Expert Member
- Mar 31, 2016
- 6,974
- 8,750
Mpaka Mwenyekiti anayemaliza muda wake?Kwa hali ilivyo CHADEMA wachumia tumbo wote wataondoka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpaka Mwenyekiti anayemaliza muda wake?Kwa hali ilivyo CHADEMA wachumia tumbo wote wataondoka
Time will tellKatibu msaidizi wa Chadema afahamikaye kwa jina la Salum Mwalimu, anatarajiwa kujiunga na CCM siku ya Jumapili mwishoni mwa Mkutano Mkuu.
Logistics za mapokezi kuanzia safari ya yeye kutoka Dar es Salaam hadi Dodoma usiku wa kuamkia Jumapili, zimesha andaliwa.
Gari inayotarajiwa kumbeba kesho usiku kumpeleka Dodoma ni ile VX LC200 aliyokuwa anatumia SG wa CCM kabla ya hiyo ya sasa LC300.
Ifahamike, kwa sasa Salum Mwalimu anajifanya yupo bega kwa bega na maandalizi ya Uchaguzi Mkuu wa tarehe 21/01 kama zuga tu ilhali analo lake kichwani.
Ahame tu hana mahali pake ndani ya ChademaKatibu msaidizi wa Chadema afahamikaye kwa jina la Salum Mwalimu, anatarajiwa kujiunga na CCM siku ya Jumapili mwishoni mwa Mkutano Mkuu.
Logistics za mapokezi kuanzia safari ya yeye kutoka Dar es Salaam hadi Dodoma usiku wa kuamkia Jumapili, zimesha andaliwa.
Gari inayotarajiwa kumbeba kesho usiku kumpeleka Dodoma ni ile VX LC200 aliyokuwa anatumia SG wa CCM kabla ya hiyo ya sasa LC300.
Ifahamike, kwa sasa Salum Mwalimu anajifanya yupo bega kwa bega na maandalizi ya Uchaguzi Mkuu wa tarehe 21/01 kama zuga tu ilhali analo lake kichwani.
HahahaAtaanza kububujikwa na machozi ya furaha😀😀
Ashagundua upande wa Mbowe hakutakuwa na jipyaAngesubiri kwanza ampigie kura Mbowe kabla ya kuondoka, maridhiano hayana chama
Mama yake Fauziat ni CCM damu 😂Katibu msaidizi wa Chadema afahamikaye kwa jina la Salum Mwalimu, anatarajiwa kujiunga na CCM siku ya Jumapili mwishoni mwa Mkutano Mkuu.
Logistics za mapokezi kuanzia safari ya yeye kutoka Dar es Salaam hadi Dodoma usiku wa kuamkia Jumapili, zimesha andaliwa.
Gari inayotarajiwa kumbeba kesho usiku kumpeleka Dodoma ni ile VX LC200 aliyokuwa anatumia SG wa CCM kabla ya hiyo ya sasa LC300.
Ifahamike, kwa sasa Salum Mwalimu anajifanya yupo bega kwa bega na maandalizi ya Uchaguzi Mkuu wa tarehe 21/01 kama zuga tu ilhali analo lake kichwani.
Katibu msaidizi wa Chadema afahamikaye kwa jina la Salum Mwalimu, anatarajiwa kujiunga na CCM siku ya Jumapili mwishoni mwa Mkutano Mkuu.
Logistics za mapokezi kuanzia safari ya yeye kutoka Dar es Salaam hadi Dodoma usiku wa kuamkia Jumapili, zimesha andaliwa.
Gari inayotarajiwa kumbeba kesho usiku kumpeleka Dodoma ni ile VX LC200 aliyokuwa anatumia SG wa CCM kabla ya hiyo ya sasa LC300.
Ifahamike, kwa sasa Salum Mwalimu anajifanya yupo bega kwa bega na maandalizi ya Uchaguzi Mkuu wa tarehe 21/01 kama zuga tu ilhali analo lake kichwani.
Hii ni takataka kabisaNjoo nikupunguzie maarifa maana hunaga hoja zaidi ya kuabudu mtu na kusifia ili ushibe. Wewe ni Pumbavu maana bora ungekua lijinga ungebadilika.
Atakuambia huna akili weweHii ni takataka kabisa
Poa tu amfuate mkewe haina neno.Katibu msaidizi wa Chadema afahamikaye kwa jina la Salum Mwalimu, anatarajiwa kujiunga na CCM siku ya Jumapili mwishoni mwa Mkutano Mkuu.
Logistics za mapokezi kuanzia safari ya yeye kutoka Dar es Salaam hadi Dodoma usiku wa kuamkia Jumapili, zimesha andaliwa.
Gari inayotarajiwa kumbeba kesho usiku kumpeleka Dodoma ni ile VX LC200 aliyokuwa anatumia SG wa CCM kabla ya hiyo ya sasa LC300.
Ifahamike, kwa sasa Salum Mwalimu anajifanya yupo bega kwa bega na maandalizi ya Uchaguzi Mkuu wa tarehe 21/01 kama zuga tu ilhali analo lake kichwani.