TANZIA Salum Shamte wa Katani Ltd afariki dunia

Kinachosikitisha zaidi, zama hizi hata utetezi hauna maana. Kosa ni la kubambikiwa, ushahidi kamwe hautakamilika, kwa makusudi, imewekwa hilo kosa la kubambikiwa halina dhamana. Unatumikia kifungo bila ya kuhukumiwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Anko is at peace at last.. His soul has resten at last. Let them reap what they have sown!
Amen. Sitaandika tena kuhusu Shamte, roho yangu imetulia sasa! Tulipitia kipindi kigumu sana sana! Wote tuwasafiri na Wapitaji humu duniani hatuna mji udumuo. Karma is a bitch. It is over now Mshana Jr

Jr[emoji769]
 
Katani ilijenga kiwanda cha kwanza duniani cha kuzalisha umeme kutoka kwenye mabaki au takataka za mkonge ambazo awali zilikuwa zinatupwa tu – (FIRST IN THE WORLD SISAL ENERGY PLANT AT HALE ESTATE). [emoji117][emoji117][emoji117][emoji117]huo ugunduzi ulikuwa wa mtu aliyeitwa Gideon Seng'enge ambaye hakimiliki zake alidhulumiwa na Shamte... PENGINE kuna siku tafiti zake zitatambuliwa RASMI na kuifanya familia yake ifaidike... Tafiti nyingine ni za maji ya mkonge kutengeneza POMBE KALI na mabaki ya mkonge kutengeneza chakula cha kuku Elli
Jr[emoji769]
 
Usilolijua ni kama usiku wa giza. Tumwombee tu hayo mengine msikufuru, kuhukumu na kubambika watu mara jiwe, mara sijui nini!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Shamte alikula.bila kunawa,Mingu ampe kauli thabit
 
Daaah pole sana bwana Elli mjomba wako alikuwa Malaika mzuri sana.


 
Salum Shamte kauliwa na watu wenye roho za kishetani, hata Lucifer hajui atawaweka wapi watakapo kuwa wamepata hukumu ya mwisho. Huyu Jiwe aka Meko ni hatari
 
Hizi nyuzi za zamani hazina tija hapa jamvini inaonekana great thinkers tuna lack content kama ulitaka ku connect dotes siungechukua link tu ingetosha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…