TANZIA Salum Shamte wa Katani Ltd afariki dunia

TANZIA Salum Shamte wa Katani Ltd afariki dunia

Nenda mwanakwenda Shamte. Ulimdhulumu sana Uncle wangu, akawa demoted, wewe na akina Marehemu Ibrahim Kaduna, mkamfanya aishi maisha magumu na ya stress sana. Mkadhulumu haki miliki za tafiti zake, aligundua jinsi ya kutengeneza pombe kwa kutumia maji ya mkonge, chakula cha kuku kwa kutumia mabaki ya mkonge na umeme kwa kutumia maji maji ya mkonge.

aliandika vitabu kuhusu mkonge lakini hakufaidika navyo. Alinieleza haya 2007 na mwaka huo huo akapata stroke, nilimuuguza Tanga, mkashindwa kumlipia hata Ambulance kutoka Tanga to Muhimbili.

nilipowatafuta kwa ajili ya matibabu yake mkaishia kunipa Tzs 50,000. Mzee Shamte unakumbuka siku ile uliniita pale fire? Ukampa dereva bahasha yenye hio pesa?
Baadae ali-recover bado mkagoma kumlipia bill, na MKUMBUKE alistahili sio kwamba ilikua fadhila.

Siku moja jioni ya 12 tukiwa tumerudi kutoka kwenye mazoezi ya viungo pale Morocco Physiotherapy clinic, STARTV wakawa wanaonyesha kipindi cha mkonge na walionyesha hizo products ambazo huyu mzee wangu ndio alikua amwzifanya yeye ila zilitangazwa kama vile ni kazi iliyofanywa na mtoto wa Shamte. Kwakuwa nilikua nine Shaun vanish a dots, nikachukua remote nikataka kubadili Chanel, ananiambia nisiondoe.

Next day akiwa kwenye mazoezi napata second stroke na ndio ikawa mwisho wake. Akina Shamte bado walishindwa hata kumsafirisha.

sina nia mbaya, kifo ni kifo but kwa kusema haya naamini nimemtendea haki Marehemu Mentor wangu. He was a true friend of Mine.
Nagojea Taazia ya mzee mohamedsaidi.

Muislam bilionea amefariki lazima atie neno ,wapi alikutana nae iwe msikiti wa mtoro au pale tanga mjini

Na mchango wake katika uislamu

Apumzike anapostahili

Sent using Jamii Forums mobile app
 
RIP Salum Shamte. Yanatokea haya kwenye nchi ambayo haijali utwala wa sheria. Katiba imetamka wazi wazi kuwa mshtakiwa yeyote asichukuliwe kuwa ana hatia mpaka Mahakama itakapothibitisha.

Huyu Salum Shamte alituhumiwa, akapewa mashtaka yasiyo na dhamana. Afya yake haikuwa nzuri na amekosa huduma za matibabu akiwa rumande.
kwahiyo?
 
Nenda mwanakwenda Shamte. Ulimdhulumu sana Uncle wangu, akawa demoted, wewe na akina Marehemu Ibrahim Kaduna, mkamfanya aishi maisha magumu na ya stress sana. Mkadhulumu haki miliki za tafiti zake, aligundua jinsi ya kutengeneza pombe kwa kutumia maji ya mkonge, chakula cha kuku kwa kutumia mabaki ya mkonge na umeme kwa kutumia maji maji ya mkonge.

aliandika vitabu kuhusu mkonge lakini hakufaidika navyo. Alinieleza haya 2007 na mwaka huo huo akapata stroke, nilimuuguza Tanga, mkashindwa kumlipia hata Ambulance kutoka Tanga to Muhimbili.

nilipowatafuta kwa ajili ya matibabu yake mkaishia kunipa Tzs 50,000. Mzee Shamte unakumbuka siku ile uliniita pale fire? Ukampa dereva bahasha yenye hio pesa?
Baadae ali-recover bado mkagoma kumlipia bill, na MKUMBUKE alistahili sio kwamba ilikua fadhila.

Siku moja jioni ya 12 tukiwa tumerudi kutoka kwenye mazoezi ya viungo pale Morocco Physiotherapy clinic, STARTV wakawa wanaonyesha kipindi cha mkonge na walionyesha hizo products ambazo huyu mzee wangu ndio alikua amwzifanya yeye ila zilitangazwa kama vile ni kazi iliyofanywa na mtoto wa Shamte. Kwakuwa nilikua nine Shaun vanish a dots, nikachukua remote nikataka kubadili Chanel, ananiambia nisiondoe.

Next day akiwa kwenye mazoezi napata second stroke na ndio ikawa mwisho wake. Akina Shamte bado walishindwa hata kumsafirisha.

sina nia mbaya, kifo ni kifo but kwa kusema haya naamini nimemtendea haki Marehemu Mentor wangu. He was a true friend of Mine.
Uncle G my best friend will rest in peace.. The best uncle ever.. I remember those last days... And that dreadful morning alipoanguka pale Morocco kwenye mazoezi...
Karma us BITCH... Uncle died with dignity but shamte died in shame.....

Jr[emoji769]
 
Shamte aliyeko gerezani kwa kesi ya uhujumu, utakatishaji na ukwepa kodi wa kampuni ya mawasiliano ana uhusiano gani na marehemu?

Au yule alishatoka (kesi ya kina Ringo Tenga) ??
 
Ni jambo la kusikitisha kuwa Bwana Shamte amekufa akiwa "mfungwa" ambaye hakuwa amepata nafasi ya kujitetea ....ili kuongea upande wake mahakamani, tumesikia habari za upande mmoja ambazo ndio kama zilikuwa zimemuhukumu .....amekufa akiwa bado yuko ndani kwa makosa ambayo hayana dhamana na ilibidi kupelekwa pale na Magereza kwakua bado alikuwa kizuizin


KOSA LA SHAMTE NI KUWA MWENYEKITI WA TPSF ....ALIKUWA AMESHAONYESHA WAZI KUWA HAMTAKI NA ALITUMIA NJIA HIYO KUMUONDOA ...KWA MUDA WOTE AMBAO SHAMTE AMEKUA MWENYEKITI WA TPSF ...AMEKUWA AKIRUKWA KWENYE MAMBO MENGI YA KIKAZI TOKA JUU NA BADALA YAKE AMEKUWA AKITUMIWA MAKAMU WAKE ...AMBAYE "WANAONGEA LUGHA MOJA" ....NA NDIYE AMEKUWA AKIPELEKA MANENO YOTE YA UCHONGANISHI YALIYOFANIKISHA SHAMTE KUPINDULIWA PALE KWA HIYO KESI ILI ASIWE KIONGOZI WA WAFANYABIASHARA
Kama ni kweli icho usemacho basi na hao waliomuondoa kwenye iyo nafasi nao wakumbuke Qul nafsi dhalkatul mauti,Nao pia watakufa muda na saa waijuayo ni Israiri mtoa roho,
 
Uncle G my best friend will rest in peace.. The best uncle ever.. I remember those last days... And that dreadful morning alipoanguka pale Morocco kwenye mazoezi...
Karma us BITCH... Uncle died with dignity but shamte died in shame.....

Jr[emoji769]

Serious? Who was Shamte, maana labda ameonewa au labda analipa alichofanya
 
Huyu ni wa mkonge Tanga
Shamte aliyeko gerezani kwa kesi ya uhujumu, utakatishaji na ukwepa kodi wa kampuni ya mawasiliano ana uhusiano gani na marehemu?

Au yule alishatoka (kesi ya kina Ringo Tenga) ??

Jr[emoji769]
 
Nagojea Taazia ya mzee mohamedsaidi.

Muislam bilionea amefariki lazima atie neno ,wapi alikutana nae iwe msikiti wa mtoro au pale tanga mjini

Na mchango wake katika uislamu

Apumzike anapostahili

Sent using Jamii Forums mobile app
Hata Ramadhan Dau lazima andike Tanzia. Wote walikuwa wapigaji tu wa mali za umma. Kama Binadamu mwenzangu pumzika kwa amani Mzee Shamte
 
Uncle G my best friend will rest in peace.. The best uncle ever.. I remember those last days... And that dreadful morning alipoanguka pale Morocco kwenye mazoezi...
Karma us BITCH... Uncle died with dignity but shamte died in shame.....

Jr[emoji769]
Naikumbuka vizuri sana ile siku! R.I.P Uncle
 
Nenda mwanakwenda Shamte. Ulimdhulumu sana Uncle wangu, akawa demoted, wewe na akina Marehemu Ibrahim Kaduna, mkamfanya aishi maisha magumu na ya stress sana. Mkadhulumu haki miliki za tafiti zake, aligundua jinsi ya kutengeneza pombe kwa kutumia maji ya mkonge, chakula cha kuku kwa kutumia mabaki ya mkonge na umeme kwa kutumia maji maji ya mkonge.

aliandika vitabu kuhusu mkonge lakini hakufaidika navyo. Alinieleza haya 2007 na mwaka huo huo akapata stroke, nilimuuguza Tanga, mkashindwa kumlipia hata Ambulance kutoka Tanga to Muhimbili.

nilipowatafuta kwa ajili ya matibabu yake mkaishia kunipa Tzs 50,000. Mzee Shamte unakumbuka siku ile uliniita pale fire? Ukampa dereva bahasha yenye hio pesa?
Baadae ali-recover bado mkagoma kumlipia bill, na MKUMBUKE alistahili sio kwamba ilikua fadhila.

Siku moja jioni ya 12 tukiwa tumerudi kutoka kwenye mazoezi ya viungo pale Morocco Physiotherapy clinic, STARTV wakawa wanaonyesha kipindi cha mkonge na walionyesha hizo products ambazo huyu mzee wangu ndio alikua amwzifanya yeye ila zilitangazwa kama vile ni kazi iliyofanywa na mtoto wa Shamte. Kwakuwa nilikua nine Shaun vanish a dots, nikachukua remote nikataka kubadili Chanel, ananiambia nisiondoe.

Next day akiwa kwenye mazoezi napata second stroke na ndio ikawa mwisho wake. Akina Shamte bado walishindwa hata kumsafirisha.

sina nia mbaya, kifo ni kifo but kwa kusema haya naamini nimemtendea haki Marehemu Mentor wangu. He was a true friend of Mine.
Pole sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom