Nikweli inasemekana alishafariki..nakumbuka nilipata taarifa za kifo chake mwaka 2011 mwishoni.But sikupata uthibitisho bcoz kwanza sikua nchini kwa kipindi hicho.Binafsi huyu jamaa nilionana nae mara ya mwisho mwaka 2008-09 Mwanza na alikua AGENT wa kampuni1 hivi ya vinywaji.
Since then hatukupata kuonana.
Ngoja wadau watatupa taarifa zaidi!!!