Nikweli inasemekana alishafariki..nakumbuka nilipata taarifa za kifo chake mwaka 2011 mwishoni.But sikupata uthibitisho bcoz kwanza sikua nchini kwa kipindi hicho.Binafsi huyu jamaa nilionana nae mara ya mwisho mwaka 2008-09 Mwanza na alikua AGENT wa kampuni1 hivi ya vinywaji.
Since then hatukupata kuonana.
Ngoja wadau watatupa taarifa zaidi!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.