Cantalisia
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 5,221
- 2,930
Ni fikra potofu tu,km kuna wanaojikuta wanachukuliwa/wanawachukua na hao watoa huduma ni hulka zao na inahusu mtu binafsi!kwan km mtunaenda kupata huduma uko serious hujichekeshi ovyo na vistori va kijinga jinga utapata huduma kwa heshima zote kila unapoenda,ila km ukijiachia hujiheshimu unajichekesha chekesha na kuendekeza vistori vyao vya kipuuzi ndio hata kupapaswa kuanzia hapo mwisho wa cku aibu!