Saluni inaweza kukuharibia pendo ati. . .

Saluni inaweza kukuharibia pendo ati. . .

Ni fikra potofu tu,km kuna wanaojikuta wanachukuliwa/wanawachukua na hao watoa huduma ni hulka zao na inahusu mtu binafsi!kwan km mtunaenda kupata huduma uko serious hujichekeshi ovyo na vistori va kijinga jinga utapata huduma kwa heshima zote kila unapoenda,ila km ukijiachia hujiheshimu unajichekesha chekesha na kuendekeza vistori vyao vya kipuuzi ndio hata kupapaswa kuanzia hapo mwisho wa cku aibu!
 
Kwa wanawake kupiga umbea sishangai,ndo walivyoumbwa,ila kwa mwanaume kuna tatizo.Pia mwanaume kufanya kazi saluni za kike pia nahisi pia kuna tatizo!
 
Unaamini hulka ya mtu yaweza kubadilishwa na mazingira anayopitia?
Hulka ya mtu HAIBADILISHWI na mazingira bali INADHIHIRISHWA na mazingira.

Mwizi anaweza akaonekana sio mwizi mwanzoni kwa kukosa cha kuiba, mwanya wa kuiba ama kishawishi. Ila mtu ambae sio mwizi hawezi fanywa mwizi kisa kaona mapesa pale, ana mwanya mzuri wa kuyakwapua ama anayahitaji.
 
Mi binafsi kama walivosema wengine sawa mwanaume akinihudumia saloon navyomchukulia kama muhudumu tu siwezi katu kushtuka juu yake! Binafsi si sababu nawachukulia ni mahanithi no, nawapa heshima yao ni kupigana na maisha tu ndo wamejikuta wako hapo. . Ila everybody got her price tag. . Siwezi kumuwazia kabisa huyu kiumbe na nadhani si kuwa sababu tu hana pesa ila ndo ivo to me no please! Na hakuna kitu cha muhimu kwa mwanamke kama kujivalue mwenyewe kwanza! lolz. .
 
afanye kazi yeyote halali as long as ni klasi yangu kifikra.
Awe ni mtu anayejiamini katika maamuzi na kujitambua.

Na hadi awe patina yangu hulka lazima ihusu.

Bendera fuata upepo haiko kwenye list yangu ya patina.
 
Back
Top Bottom