Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
- Thread starter
-
- #21
Kumfananisha shekhan Rashid na Salvatory Edward ni jambo la kipuuzi. Shekhan yupo katika daraja lakati la kina fei toto, boban, Chuji, Salum Abubakar, Mudathir Yahaya n.k.Yaani si wachezaji wa kutisha ila walijaribu kufabya vizuri.
Salvatory alikua ni mchezaji wa daraja la juu kwa wachezaji walio wai kutokea katika ligi ya bongo yupo katika daraja moja Ally Maumba, Marsha, Dadi athumani , Sekirojo chambua, Athumani China, Method Mogela, Issa athumani, Yusufu Macho n.k kuna umbali mkubwa wa viwango kati yao.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa wale wapenzi wa soka wa zamani, umepewa nafasi ya kuchagua mmojawapo ili kikosi chako kitimie, kati ya Shekhan na Salvatory nani unampa nafasi katika timu yako?
Lakini si aliondoka simba 2005 akaenda Denmark huyo Slavatory aliwahi kutoka hata kwenda Kongo tu ?Shekhan Rashird alicheza na kung'ara kwa muda mfupi sana, sidhani kama inaweza kuzidi misimu mitatu. Kwa hivyo si rahisi kumlinganisha na mchezaji aliyecheza kwa kiwango kama chake lakini kwa misimu zaidi ya minane. Kwa vyovyote Salva atakuwa juu. Kipimo sahihi cha Salva ni akina Chambua, Marsha, Matola etc.
Kumfananisha shekhan Rashid na Salvatory Edward ni jambo la kipuuzi. Shekhan yupo katika daraja lakati la kina fei toto, boban, Chuji, Salum Abubakar, Mudathir Yahaya n.k.Yaani si wachezaji wa kutisha ila walijaribu kufabya vizuri.
Salvatory alikua ni mchezaji wa daraja la juu kwa wachezaji walio wai kutokea katika ligi ya bongo yupo katika daraja moja Ally Maumba, Marsha, Dadi athumani , Sekirojo chambua, Athumani China, Method Mogela, Issa athumani, Yusufu Macho n.k kuna umbali mkubwa wa viwango kati yao.
Sent using Jamii Forums mobile app
Lakini si aliondoka simba 2005 akaenda Denmark huyo Slavatory aliwahi kutoka hata kwenda Kongo tu ?
Sent using Jamii Forums mobile app
Lakini si aliondoka simba 2005 akaenda Denmark huyo Slavatory aliwahi kutoka hata kwenda Kongo tu ?
Sent using Jamii Forums mobile app
Thesis yako ni batili huwezi kumlinganisha mtu aliyeshindwa Kufika mbali kwa sababu ya Majeraha na mtu ambaye hakusumbuliwa na majeraha..Siyo wote wanaoenda nje na kupambwa magazetini, basi wanaenda kucheza soka. Na hata wanaopata bahati ya kucheza soka nje siyo kipimo kuwa, wao ni bora sana kuliko ambao hawakwenda nje.
Kuna mtu aliyekuwa akiitwa Peter Nkwera, huyo jamaa ni namba mbaya mnoo. Siyo Salva au Shekhn walikuwa na uwezo hata kumkaribia tu, matokeo yake aliishia kucheza Reli, majeruhi yakamwandama. akatoka kwny soka
P. Nkwer, Salva wote watoto wa temeke walicheza pamoja...!
Thesis yako ni batili huwezi kumlinganisha mtu aliyeshindwa Kufika mbali kwa sababu ya Majeraha na mtu ambaye hakusumbuliwa na majeraha..
Ningekuelewa kama ungesema Salvatory alikuwa bora ila akiamua kucheza soka la ndani na Shekhan aliamua tu kwenda huko.
Haya uliwezaje kupima kiwango cha huyo Nkwera wakati alikuwa injury prone?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ok sawa.Salva, Nkwera na Lunyamila wote walicheza umiseta wanajuana tangu shule. Lunya alichezea shule ya mikoani nadhani shinyanga
Kiwango kikubwa cha Peter, ilifanya timu ya Reli ya Moro imlipie ada O level, na alipo maliza alienda kujiunga nayo. Kumbuka Salva na Petr ukiacha mtaani, pia walimaliza shule moja olevo.
Ilimchukua Salva miaka miwili mbele ili kucheza daraja la kwanza, wakti petr na lunya walikuwa tayr, akaenda sigara na Lunya yanga..
wengine wanaenda ulaya kutokana na connection tu walizonazo, na wapo wazuri hawaendi kutokana na sababu kadhaa nyuma yao..
Nilikuwepo Kirumba .Salvatory Edward a.k.a Doctor alikuwa poa sana! Nakumbuka goli alilowafunga Kenya kwenye kombe la castle pale Ccm Kirumba!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa wale wapenzi wa soka wa zamani, umepewa nafasi ya kuchagua mmojawapo ili kikosi chako kitimie, kati ya Shekhan na Salvatory nani unampa nafasi katika timu yako?
Kumfananisha salva na shekhan ni upmbaff...mtoahoja umeanza kuangalia mpira lini?
Sent using Jamii Forums mobile app
Lakini si aliondoka simba 2005 akaenda Denmark huyo Slavatory aliwahi kutoka hata kwenda Kongo tu ?
Sent using Jamii Forums mobile app
Nikafiriki ni ule mgoli Wa Salvatore aliupiga tegeta akafunga mbagalaFORTALEZA jukwaa hili la michezo ningependelea tuwe na video za hao watu au picha !! ni ushauri tu mkuu unakumbuka hii
Hawachelewi kumlingamisha Salum Machaku na SMG hawa....Shekhan Rashird alicheza na kung'ara kwa muda mfupi sana, sidhani kama inaweza kuzidi misimu mitatu. Kwa hivyo si rahisi kumlinganisha na mchezaji aliyecheza kwa kiwango kama chake lakini kwa misimu zaidi ya minane. Kwa vyovyote Salva atakuwa juu. Kipimo sahihi cha Salva ni akina Chambua, Marsha, Matola etc.
Salva alikuwa mtu zaidi ya shekhan RashidySalvatory alikwenda kucheza Oman, uturuki .Uturuki alipata timu Ila alikuta dirisha limefungwa la usajili aka fanya majaribio akawa amefuzu tena timu ya wakubwa. Ishu ikaja Yanga Waka mtaka ajiunge ili ashiriki club bingwa Afrika, Aka amua aachane na kusubiri msimu wa usajili Ulaya akaja kusajiliwa Yanga.
Salvatory, Peter Nkwela na mwingine nime msahau wote walitokea Kibasila Secondary kwenda timu ya Umiseta mkoa wa Dar. Ila Salva alicheza Cargo, Sigara, Yanga.Peter Nkwela alikua akicheza namba tano na si namba nane.
Sent using Jamii Forums mobile app