Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
Kwa wale wapenzi wa soka wa zamani, umepewa nafasi ya kuchagua mmojawapo ili kikosi chako kitimie, kati ya Shekhan na Salvatory nani unampa nafasi katika timu yako?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa wale wapenzi wa soka wa zamani, umepewa nafasi ya kuchagua mmojawapo ili kikosi chako kitimie, kati ya Shekhan na Salvatory nani unampa nafasi katika timu yako?
Salvatory Edward 'doctor' [emoji736]Kwa wale wapenzi wa soka wa zamani, umepewa nafasi ya kuchagua mmojawapo ili kikosi chako kitimie, kati ya Shekhan na Salvatory nani unampa nafasi katika timu yako?
mbona siwaoni youtubeKwa wale wapenzi wa soka wa zamani, umepewa nafasi ya kuchagua mmojawapo ili kikosi chako kitimie, kati ya Shekhan na Salvatory nani unampa nafasi katika timu yako?
mbona siwaoni youtube
Shehan Rashid anachomzidi Salvatory Edward ni kwenda Sweden kufanya kazi ya kubeba watoto (uyaya).
Sent using Jamii Forums mobile app
Shekhan Rashid alikuwa fundi sana kuliko huyo Salvatory Edward.Kwa wale wapenzi wa soka wa zamani, umepewa nafasi ya kuchagua mmojawapo ili kikosi chako kitimie, kati ya Shekhan na Salvatory nani unampa nafasi katika timu yako?
Shekhan Rashird alicheza na kung'ara kwa muda mfupi sana, sidhani kama inaweza kuzidi misimu mitatu. Kwa hivyo si rahisi kumlinganisha na mchezaji aliyecheza kwa kiwango kama chake lakini kwa misimu zaidi ya minane. Kwa vyovyote Salva atakuwa juu. Kipimo sahihi cha Salva ni akina Chambua, Marsha, Matola etc.Shekhan Rashid alikuwa fundi sana kuliko huyo Salvatory Edward.
Ukitaka kaangalie squad ya simba ya 2002/3 uone kama huyo Edward angeweza kutoboa hata first 11 ya simba.
Sent using Jamii Forums mobile app
Shekhan Rashird alicheza na kung'ara kwa muda mfupi sana, sidhani kama inaweza kuzidi misimu mitatu. Kwa hivyo si rahisi kumlinganisha na mchezaji aliyecheza kwa kiwango kama chake lakini kwa misimu zaidi ya minane. Kwa vyovyote Salva atakuwa juu. Kipimo sahihi cha Salva ni akina Chambua, Marsha, Matola etc.
Sure mkuu naikumbuka hiyo shuti la mbaki sana.Salvatory Edward a.k.a Doctor alikuwa poa sana! Nakumbuka goli alilowafunga Kenya kwenye kombe la castle pale Ccm Kirumba!
Sent using Jamii Forums mobile app
100% uko sahihi! Salva alikuwa mtu na nusu! Anakaba, anaasisti na kufunga, na mchango wake kwa Yanga na Taifa ni mkubwa na wa muda mrefu!Kumfananisha shekhan Rashid na Salvatory Edward ni jambo la kipuuzi. Shekhan yupo katika daraja lakati la kina fei toto, boban, Chuji, Salum Abubakar, Mudathir Yahaya n.k.Yaani si wachezaji wa kutisha ila walijaribu kufabya vizuri.
Salvatory alikua ni mchezaji wa daraja la juu kwa wachezaji walio wai kutokea katika ligi ya bongo yupo katika daraja moja Ally Maumba, Marsha, Dadi athumani , Sekirojo chambua, Athumani China, Method Mogela, Issa athumani, Yusufu Macho n.k kuna umbali mkubwa wa viwango kati yao.
Sent using Jamii Forums mobile app