enock yusto
JF-Expert Member
- May 28, 2014
- 377
- 341
Bila shaka mnaotizama ITV mtakubaliana na mimi kwamba Sam Mahela ndio mtangazaji bora ITV kwa sasa baada ya kuondoka Godwin Gondwe na Isack Gamba pamoja na Emmanuel Buholela, ameweza kukiendesha vyema kipindi cha Dk 45 na jinsia anavyotoaga report.
Kijana yuko vizuri kwa kweli
Kijana yuko vizuri kwa kweli