Sam Misago embu punguza uroho na ujirekebishe unapokuwa live FNL

Sam Misago embu punguza uroho na ujirekebishe unapokuwa live FNL

Sam anavyobambia anawapa mzuka sana maawla wa kitaa!
Sam ni mtu wa kuigwa!
Sam baba lao!

Sam kama faru "john"

Sam ndio faru john wengine digidigi
 
Habari za wikiendi

Jana tarehe 9/12/2016 kwenye kipindi cha FNL-FRIDAY NIGHT LIVE kwa mara ya kwanza nilikiangalia mwanzo mpaka mwisho. sasa sikujua kama ndo tabia au ndo yashakua mazoea.

kilichoniuzi sam alimfuata yule vixen wa wimbo wa muziki akamshika kwa kiuno(alivaa nguo nyeusi) alafu akambinya mpaka yule dada akasogea pembeni. baadaye kwa watu tunaoelewa saikolojia ya mtu ata akiwaza huwa tunajuaga yule dada alikosa amani akawa kapanic sana. mwanzoni kama mtakumbuka yule dada alikuwa anajiachia ila baada ya kitendo kile yule dada mood ikaisha kabisa. japo alijiachia mwishoni
kingine ni swala la kushikana viuno huku anakibinya binya. hii sio tabia nzuri. sijapendezwa nalo kabisa kwa mtindo huu mimi hili swala la FNL bora niwe nasikiliza kwenye redio.

Alafu sam acha uroho. najua macho hayafichi. ukiangalia mtu tunajua umetamani, dharau.... embu ficha basi udhaifu wako usiuonyeshe ki hivyo.... maadui wako watakuangamiza.... nikiangalia macho yako najua jirekebishe

nisamehe kama nimekukosea... asante
Wacha wivuu..kwanza ndo siku ya kwanza umeangalia nashangaa waongea kama umekiangalia miaka 100. . Hii jamaa itakuwa Shilawadoooooo
 
Kuna matusi mapya nimeyaona hapo juu naomba mwenye hati miliki ya hayo matusi anipe na mimi "mkundugu"
 
mapovu... mwachie mwenye kisu ale.nyama nawewe cheza ligi yako vitu vingine viangalie tu

Nashangaa wakina mwajuma ndala ndefu wamejaa huko Goba , kashindwa kuwashika viuno anamwonea wivu sam
 
  • Thanks
Reactions: G 6
Wivu tu, tatizo mnavamia kuangalia vipindi msivyojua maudhui yake
 
Habari za wikiendi

Jana tarehe 9/12/2016 kwenye kipindi cha FNL-FRIDAY NIGHT LIVE kwa mara ya kwanza nilikiangalia mwanzo mpaka mwisho. sasa sikujua kama ndo tabia au ndo yashakua mazoea.

kilichoniuzi sam alimfuata yule vixen wa wimbo wa muziki akamshika kwa kiuno(alivaa nguo nyeusi) alafu akambinya mpaka yule dada akasogea pembeni. baadaye kwa watu tunaoelewa saikolojia ya mtu ata akiwaza huwa tunajuaga yule dada alikosa amani akawa kapanic sana. mwanzoni kama mtakumbuka yule dada alikuwa anajiachia ila baada ya kitendo kile yule dada mood ikaisha kabisa. japo alijiachia mwishoni
kingine ni swala la kushikana viuno huku anakibinya binya. hii sio tabia nzuri. sijapendezwa nalo kabisa kwa mtindo huu mimi hili swala la FNL bora niwe nasikiliza kwenye redio.

Alafu sam acha uroho. najua macho hayafichi. ukiangalia mtu tunajua umetamani, dharau.... embu ficha basi udhaifu wako usiuonyeshe ki hivyo.... maadui wako watakuangamiza.... nikiangalia macho yako najua jirekebishe

nisamehe kama nimekukosea... asante
Mbona umeomba akusamehe? Hujakosea Sam liroho sana la mapenzi, linaonyesha uzaifu wake mbele ya camera hajui yupo live, aaaaa aache twabia mbaya, FNL inakufa
 
Kipindi kilikuwa kizuri sana kipindi cha Sebo...!! Sam siyo mbunifu kabsa..but ni bora niangalie kipindi cha Sam kuliko wale wa puuzi WA shilawadu
Ivi awa clouds media, yule shilole wanampa pesa ya kufanya upuuzi wake
 
Tatizo ni umri.

Kwa umri wako ni kujishushia heshima kuendelea kuangalia kile kipindi.Kile kipindi ni kwa ajili ya vijana.

Sisi vijana ndio mambo yetu yale na tunapenda michezo ya namna ile we endelea kuangalia taarifa ya habari.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji3] [emoji3] [emoji23] [emoji3] [emoji3] [emoji23] [emoji3]
 
Back
Top Bottom