Jaji Mfawidhi
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 15,835
- 23,776
mapovu... mwachie mwenye kisu ale.nyama nawewe cheza ligi yako vitu vingine viangalie tuMkuundugu wako!!!! nyau wa porini wewe!!! kwa vile ni hapa ngoja nikusitiri
point...Kinachoniudhi hikikipindi hakipo you tube
ukikikosa tu baasi
waige wenzao....vipindi vyote youtube
Huo wivu kuona mwenzako kadinda on airSio on air mnapapasana mnakaliana mpaka mmoja aliyekaliwa naona alidinda mpaka akasogeza mashime pembeni...
acha mambo yako kwani wanaotangaza ni wanawake wale?Hiv na wanaume huangalia Shilawadu kwani??
Wacha wivuu..kwanza ndo siku ya kwanza umeangalia nashangaa waongea kama umekiangalia miaka 100. . Hii jamaa itakuwa ShilawadooooooHabari za wikiendi
Jana tarehe 9/12/2016 kwenye kipindi cha FNL-FRIDAY NIGHT LIVE kwa mara ya kwanza nilikiangalia mwanzo mpaka mwisho. sasa sikujua kama ndo tabia au ndo yashakua mazoea.
kilichoniuzi sam alimfuata yule vixen wa wimbo wa muziki akamshika kwa kiuno(alivaa nguo nyeusi) alafu akambinya mpaka yule dada akasogea pembeni. baadaye kwa watu tunaoelewa saikolojia ya mtu ata akiwaza huwa tunajuaga yule dada alikosa amani akawa kapanic sana. mwanzoni kama mtakumbuka yule dada alikuwa anajiachia ila baada ya kitendo kile yule dada mood ikaisha kabisa. japo alijiachia mwishoni
kingine ni swala la kushikana viuno huku anakibinya binya. hii sio tabia nzuri. sijapendezwa nalo kabisa kwa mtindo huu mimi hili swala la FNL bora niwe nasikiliza kwenye redio.
Alafu sam acha uroho. najua macho hayafichi. ukiangalia mtu tunajua umetamani, dharau.... embu ficha basi udhaifu wako usiuonyeshe ki hivyo.... maadui wako watakuangamiza.... nikiangalia macho yako najua jirekebishe
nisamehe kama nimekukosea... asante
Land ww nd utuambie coz hizo tabia umeziona peke yakoUvi uyo jamaa ni shoga? Ana tabia fulani za kichoko
Sebo alikuwa vizuri sana..nasikia ndo viongozi wa efm now..alianza Sebo, baadaye akqja Musa Hussein, ndo akaja Sam..sam anautoto sana.Daah we mkongwe.sebo ilikuwa balaa Yule jamaa.ilikuwa hukosi kuangalia
We huezi kumuona maana si mwenzako wazee wa vilainishi mnajuana na mnateteanagaLand ww nd utuambie coz hizo tabia umeziona peke yako
mapovu... mwachie mwenye kisu ale.nyama nawewe cheza ligi yako vitu vingine viangalie tu
Alipita Jimmy kabwe ndio akaja Sam misagoSebo alikuwa vizuri sana..nasikia ndo viongozi wa efm now..alianza Sebo, baadaye akqja Musa Hussein, ndo akaja Sam..sam anautoto sana.
Mbona umeomba akusamehe? Hujakosea Sam liroho sana la mapenzi, linaonyesha uzaifu wake mbele ya camera hajui yupo live, aaaaa aache twabia mbaya, FNL inakufaHabari za wikiendi
Jana tarehe 9/12/2016 kwenye kipindi cha FNL-FRIDAY NIGHT LIVE kwa mara ya kwanza nilikiangalia mwanzo mpaka mwisho. sasa sikujua kama ndo tabia au ndo yashakua mazoea.
kilichoniuzi sam alimfuata yule vixen wa wimbo wa muziki akamshika kwa kiuno(alivaa nguo nyeusi) alafu akambinya mpaka yule dada akasogea pembeni. baadaye kwa watu tunaoelewa saikolojia ya mtu ata akiwaza huwa tunajuaga yule dada alikosa amani akawa kapanic sana. mwanzoni kama mtakumbuka yule dada alikuwa anajiachia ila baada ya kitendo kile yule dada mood ikaisha kabisa. japo alijiachia mwishoni
kingine ni swala la kushikana viuno huku anakibinya binya. hii sio tabia nzuri. sijapendezwa nalo kabisa kwa mtindo huu mimi hili swala la FNL bora niwe nasikiliza kwenye redio.
Alafu sam acha uroho. najua macho hayafichi. ukiangalia mtu tunajua umetamani, dharau.... embu ficha basi udhaifu wako usiuonyeshe ki hivyo.... maadui wako watakuangamiza.... nikiangalia macho yako najua jirekebishe
nisamehe kama nimekukosea... asante
Ivi awa clouds media, yule shilole wanampa pesa ya kufanya upuuzi wakeKipindi kilikuwa kizuri sana kipindi cha Sebo...!! Sam siyo mbunifu kabsa..but ni bora niangalie kipindi cha Sam kuliko wale wa puuzi WA shilawadu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji3] [emoji3] [emoji23] [emoji3] [emoji3] [emoji23] [emoji3]Tatizo ni umri.
Kwa umri wako ni kujishushia heshima kuendelea kuangalia kile kipindi.Kile kipindi ni kwa ajili ya vijana.
Sisi vijana ndio mambo yetu yale na tunapenda michezo ya namna ile we endelea kuangalia taarifa ya habari.
Wivu ulitaka akushike wewe?