Samahani sana Guedejr kwa kukuita 'Bondia" na kukudhiahaki kuwa hujui ball, nisamehe mimi nimekosa

Samahani sana Guedejr kwa kukuita 'Bondia" na kukudhiahaki kuwa hujui ball, nisamehe mimi nimekosa

NALIA NGWENA

JF-Expert Member
Joined
Oct 6, 2016
Posts
10,587
Reaction score
13,425
Wale wote tuliokuwa tukimdhihaki Gudejr na kumuita BONDIA, mkiongozwa na mimi mwenyewe hapahapa jukwaani na kumuona Clement mzinze ni bora kuliko Guede Nalia Ngwena, sasa ni muda wetu wa kuja kumuomba msamaha hapa na kufuta kauli yetu ya kusema kuwa ni bondia .
mwamba hivi sasa ana magoli jumla ya 8, alitupia dhidi ya Belouzdad, katupia dhidi ya simba sc , mwamba anatupia kwenye mechi muhimu tu

hakika guede ni ,mwamba na ukibisha njoo utuambie kibu mkandaj ana magoli mangapi ukijumlisha ya ligi, kimataifa na ndondo cup.
 
Wale wote tuliokuwa tukimdhihaki Gudejr na kumuita BONDIA, mkiongozwa na mimi mwenyewe hapahapa jukwaani na kumuona Clement mzinze ni bora kuliko Guede Nalia Ngwena, sasa ni muda wetu wa kuja kumuomba msamaha hapa na kufuta kauli yetu ya kusema kuwa ni bondia .
mwamba hivi sasa ana magoli jumla ya 8, alitupia dhidi ya Belouzdad, katupia dhidi ya simba sc , mwamba anatupia kwenye mechi muhimu tu

hakika guede ni ,mwamba na ukibisha njoo utuambie kibu mkandaj ana magoli mangapi ukijumlisha ya ligi, kimataifa na ndondo cup.
Sasa kashaingia kwenye mfumo wa YASC.
 
Si kweli.
Guede ni Mzize aliye changamka. Muda ni jawabu sahihi.
 
Wale wote tuliokuwa tukimdhihaki Gudejr na kumuita BONDIA, mkiongozwa na mimi mwenyewe hapahapa jukwaani na kumuona Clement mzinze ni bora kuliko Guede Nalia Ngwena, sasa ni muda wetu wa kuja kumuomba msamaha hapa na kufuta kauli yetu ya kusema kuwa ni bondia .
mwamba hivi sasa ana magoli jumla ya 8, alitupia dhidi ya Belouzdad, katupia dhidi ya simba sc , mwamba anatupia kwenye mechi muhimu tu

hakika guede ni ,mwamba na ukibisha njoo utuambie kibu mkandaj ana magoli mangapi ukijumlisha ya ligi, kimataifa na ndondo cup.
Mkuu hiyo Guede Jr umejiongeza baada ya kuona ile J mbele ya jina lake? Ile J ni Joseph sio Junior
 
Wale wote tuliokuwa tukimdhihaki Gudejr na kumuita BONDIA, mkiongozwa na mimi mwenyewe hapahapa jukwaani na kumuona Clement mzinze ni bora kuliko Guede Nalia Ngwena, sasa ni muda wetu wa kuja kumuomba msamaha hapa na kufuta kauli yetu ya kusema kuwa ni bondia .
mwamba hivi sasa ana magoli jumla ya 8, alitupia dhidi ya Belouzdad, katupia dhidi ya simba sc , mwamba anatupia kwenye mechi muhimu tu

hakika guede ni ,mwamba na ukibisha njoo utuambie kibu mkandaj ana magoli mangapi ukijumlisha ya ligi, kimataifa na ndondo cup.𝒌𝒘𝒆𝒍𝒊 𝒋𝒂𝒎𝒂𝒂 𝒂𝒏𝒂𝒋𝒖𝒂 𝒃𝒐𝒍𝒊 𝒏𝒊 𝒎𝒕𝒖 𝒏𝒂 𝒏𝒖𝒔𝒖
FB_IMG_1714625216777.jpg
 
Uungwana ni vitendo. Hata mimi mwanzonii sikumuelewa kabisa. Ila kwa sasa walau nimeanza kumkubali kiana. Ila bado anatakiwa akaze msuli.
Uzuri wa kibu anaweza kutumika ktk namba nyingi na watu wenye nguvu nhuvu na mikimbio ndio anao wataka gamond mfano timu ndogo za mikoani zikipaki bus gamond amekuwa na kawaida ya kumtoa mudathir na kumuweka mzize au musonda kama namba 6 ili kuwavuruga wapaki bus na matokeo anapata huyu kibu akija yanga atachezeshwa namba nyingi kama akina musonda anafaa sana viongozi wachangamkie fursa
 
Huwa tukiwaambia mna nyege za mihemko muelewe... Waomba msamaha na viongozi Kwa kuzusha juu ya pacome. Takataka Waheed wewe.
 
Back
Top Bottom