Samahani wanawake wote mnaoniPM

Samahani wanawake wote mnaoniPM

Ni wale wasiochangia Mada, lakini Hawa tunaokesha nao hapa kuna walakini
Hapana mzee!

Hujapata exposure ya kutosha, humu kuna wadada ni first class kabisa. Unajua vile mtu amehonga wilaya kwa mdada??? Basi wapo wanaume wanaweza honga dunia ili kuwa nao.

Tafadhali naomba usiniambie nkutajie baadhi yao.
 
Unajua mtu yyt succesful (hasa men)hawez jiita komred kipepe[emoji28][emoji28]..niamini mm..

Na mtu yyt smart upstairs hawez jiita hvyo..kuna majina yanachagiza sana na ww ulivyo...yaanakisi kbs uhalisia wako...sasa mwnamke timilifu kumfata komredi kipepe[emoji23][emoji23][emoji57]piyemu inaleta "wahka" wa ajabu[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
Don't judge a person with fake IDentification, WATI EEEE FAKI A YU TOKINGI ABAUTI???

Watu tunakuja tuu hapa kumaliza stress, naandika chochote ninachojiskia... Sasa wewe pagawa na jina
 
Ndiwooo nilienda ... ndio tunaumbuliwa hapa![emoji1787]
FRAGARIAAAAA, PM pangekuja mtu kama wewe hata Uzi nisingefungua, jina lenyewe FRAGARIA, Linaonyesha ni jinsi gani ulivyo mzuri, sio mtu et anajiita manengelo, sasa manengelo Ndio nini??? Si bora angejiita LINENGELO yaani limoja halafu likubwa ahahaahahaa

I love yuuu Fragariiiiiaaaazzzzz
 
FRAGARIAAAAA, PM pangekuja mtu kama wewe hata Uzi nisingefungua, jina lenyewe FRAGARIA, Linaonyesha ni jinsi gani ulivyo mzuri, sio mtu et anajiita manengelo, sasa manengelo Ndio nini??? Si bora angejiita LINENGELO yaani limoja halafu likubwa ahahaahahaa

I love yuuu Fragariiiiiaaaazzzzz



💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃
 
Hapana mzee!

Hujapata exposure ya kutosha, humu kuna wadada ni first class kabisa. Unajua vile mtu amehonga wilaya kwa mdada??? Basi wapo wanaume wanaweza honga dunia ili kuwa nao.

Tafadhali naomba usiniambie nkutajie baadhi yao.
Nitajie PM mkuu ausiio
 
FRAGARIAAAAA, PM pangekuja mtu kama wewe hata Uzi nisingefungua, jina lenyewe FRAGARIA, Linaonyesha ni jinsi gani ulivyo mzuri, sio mtu et anajiita manengelo, sasa manengelo Ndio nini??? Si bora angejiita LINENGELO yaani limoja halafu likubwa ahahaahahaa

I love yuuu Fragariiiiiaaaazzzzz
Kwa hiyo mkuu unatamani waje PM sio?? Maana hapa sasa sijakuelewa kdg
 
Back
Top Bottom