Samahani wanawake wote mnaoniPM

Samahani wanawake wote mnaoniPM

Nakuhakikishia sitokuangusha kabisa.... Yaani Ile unarudi home nakuja kukupokea uwanjani na makiss ya hajaaa... Ukifika ndani sasa utaulizwa unaanza kula kipi kati ya kilichopikwa na mpikaji!? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Hiyo ni utangulizi
Aseee hapo nitadili na mpishi kwanza chakula kipo tuuu . . nitafakamia kama nimetoka gerezani
 
Back
Top Bottom