Relief Mirzska
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 13,992
- 22,396
Hapo sawa. Kwa hiyo habari za Fragaria achana nazo maana utawakosa woteZesh
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo sawa. Kwa hiyo habari za Fragaria achana nazo maana utawakosa woteZesh
Hebu subiri kwanza tunatest mitambo. Ngoja atume hiyo 200k kwanzaEeeeh hebu taja mwenzio anasubiri kuambiwa kima cha mahari puliiiiz
Kaza hapo hapo usije ukaachia sasa na weweSubiri kidogo mpaka tupate muafaka wa mahari
Tuma kwanza hela mkuuAseeee mrembo Zesh ndani ya mjengo
Unajua ukifanya mchezo nyete atahusika hapa. Ooohhhoooo🤣🤣🤣🤣🤣Eeeh Kuna harufu ya kubaniana hapa
Tulia mkuu kama moja. Let me do my jobAseeee
Kwa hiyo mimi kukusaidia ushataka kuniona tapeli???Iwe yake kweli
Naanzaje kuachia nasubiri utaje mahariKaza hapo hapo usije ukaachia sasa na wewe
Kwa kwa kwa kwa.Nakuhakikishia sitokuangusha kabisa.... Yaani Ile unarudi home nakuja kukupokea uwanjani na makiss ya hajaaa... Ukifika ndani sasa utaulizwa unaanza kula kipi kati ya kilichopikwa na mpikaji!? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hiyo ni utangulizi
Eeeeh hahahahahaha ngoja niwache utaniUnajua ukifanya mchezo nyete atahusika hapa. Ooohhhoooo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Khokhokho tulia taja mahari mwenzio akapate mauno ya kimakonde aiiiiiiiiKwa kwa kwa kwa.
Au kiepe mishkaki???
Unanitamanisha ujueeeKhokhokho tulia taja mahari mwenzio akapate mauno ya kimakonde aiiiiiiii
Hamna mseeeKwa hiyo mimi kukusaidia ushataka kuniona tapeli???
Tafuta mseee utapataWengine wahamie kwangu please
Aaaagh!! Vipi tena mshenga!? SikuelewiiiiKaza hapo hapo usije ukaachia sasa na wewe
Namba sasaaTuma kwanza hela mkuu
Hivyo hivyoNaanzaje kuachia nasubiri utaje mahari
[emoji28][emoji28][emoji28].Aiseee...yani una ID nyingine 12???
Naona umezitumia kuji pm.
Ulianza na beira hahahaha