Itifaki imezingatiwa, ningependa kujua kukata affidavit ina gharimu shilingi ngapi? maana juzi nilienda mahakamani nikamkuta jamaa akaniambia eti nimpe elfu kumi ya kitanzania. Machale yakanicheza nikaacha. Ningependa kuskia kutoka kwenu, hiv itanigharimu shilingi ngapi? Naombeni majibu yenu tafadhali.