bata mzinga
Member
- Jan 11, 2016
- 19
- 33
kuanzia kg 50 BossMnauza kuanzia kilo ngapi?
ndiyo Boss kama mkoani njoo tuzungumze namna bora wa kufikishaHii ni kwa daressalam tu, si ndiyo?
thanks mkuu, samaki wengi wanaanzia gm 300, ukitaka kuona aina ya samaki utaniambia tu nikutumiePicha zao ingekua vzr sana
All the best
Bei zinahamasisha sanaJe una butcher la samaki wa maji chumvi(samaki kutoka baharini),tunauza samaki kwa bei ya jumla bei zetu ni nafuu na unalipia pale unapopokea mzigo,mzigo wetu unaipokelea mbagara zakhem, tafadhari fungua hiyo picha uone bei zetu za samaki na pia unaruhusiwa kuuliza chochoteView attachment 3125100
karibu mkuuBei zinahamasisha sana
upo sahihi mkuu ni samaki watamu sanaHao jodari Wana mnofu sana
wabichi mkuuHawo samaki ni wabichi?
karibu mkuuBei ni nzuri sana
ahsante mkuu kwa urekebishoNi butchery mkuu, butcher ni yule anaye ua na kukata kata nyama