Samaki Ukishamvua majini..............?????

Samaki Ukishamvua majini..............?????

Mmh, nadhani ni rahisi sana kusema kwamba utafunga mabag na kuondoka. Ingakuwa ulaya na America, ningekuelewa kirahisi sana. Ndoa nyingi sana hazina furaha na bado watu wamekaa pamoja. Kama tutafanya sensa ya ndoa zenye furaha hapa JF, na watu wakakubali kusema ukweli wao, we will be shocked.

Sometime kwenye ndoa, watu wanaishi pamoja kwa mambo mengi zaidi ya kupeana raha.

Kweli kabisa,

Raha kwenye ndoa nyingi ni ANASA ambayo ni watu wachache wanaweza kupata access ya kuwa nayo!!

Ni rahisi kufunga ndoa ya zaidi ya 200mil Tsh kuliko kuwa na ndoa ambayo mnakula kauzu na kufurahia uwepo wa kila mtu na nafasi yake kwenye ndoa!!
 
[/B][/I][/COLOR]
Yaani, I wish wanaume wenye tabia kama hii wangesikia na kutekeleza haya. Kwa kiasi kikubwa, migogoro ya ndoa ingepungua sana.
Ndio maana kuna baadhi ya watu watu walikuwa wanadai kwamba WANAUME HAWAPEWI DARASA HASA WAJIBU WAO KWENYE NDOA KABLA YA KUOA.... JAMII INA ASSUME KWAMBA WANAJUA KILA KITU...

Sometime mfumo dume unatuathiri sana
Tunajifanya kila kitu tunajua na matokeo yake ni kuwa hatujui kitu
Tunajiaminisha kuwa kwa kuwa sisi ndo waoaji ndio wenye last say katika kila kitu
Hata swala la unyumba ni pale tunapotaka na kama kuna hawara huko nje tena ndo kabisa mke atakuwa anapewa unyumba chini ya masharti magumu au pale mimi mwanaume ninapojisikia kufanya hivyo
Na mke hana amri wala uhalali wa kudai haki yake hiyo
Lililo kubwa ambalo mwanamke amekuja kufuata ndani ya nyumba sio hayo tunayodhani ni zaidi ya hapo na wanaume tunatakiwa kujua hilo
 
mnataka kulipa uzito swala la unyumba kuliko mengine kwanini? Eti chakula ata nyumbani kilikuepo..ni ngumu kuendelea na mwendo uleule kutoka kwenye uchumba hadi ndoa tena ndoa ya miaka 5 au wanaolalamika ni wale wa ndoa changa?
 
Kweli kabisa,

Raha kwenye ndoa nyingi ni ANASA ambayo ni watu wachache wanaweza kupata access ya kuwa nayo!!

Ni rahisi kufunga ndoa ya zaidi ya 200mil Tsh kuliko kuwa na ndoa ambayo mnakula kauzu na kufurahia uwepo wa kila mtu na nafasi yake kwenye ndoa!!


Babu DC ushauri wako ni muhimu sana
Ila watu wanajisahau sana wakishaingia kwenye ndoa badala ya kuwa raha inakuwa ni ile ndoa ndoana
Hakuna maelewano mazuri, unyumba sharti kwa maombi na kupangiana wakati kila mmoja anajua yuko pale kwa ajili ya mwenzake na mwili wa mmoja ni wa mwenzake pia
Mke ana uhuru wa mwili wa mume wake na mume the same
Ila hapo sasa mwanaume anapokuwa mkali na mwili wake suala la ndoa kuonekana ndoana lazima liingie
 
mnataka kulipa uzito swala la unyumba kuliko mengine kwanini? Eti chakula ata nyumbani kilikuepo..ni ngumu kuendelea na mwendo uleule kutoka kwenye uchumba hadi ndoa tena ndoa ya miaka 5 au wanaolalamika ni wale wa ndoa changa?

Ukishaanza kuwa na mawazo kama haya huchelewi kumuona mkeo au mumeo ni mzee ukaenda kutafuta nyumba ndogo
Hakuna ndoa kuzeeka kila siku wapaswa kumuona mumeo au mkeo ni mpya
Unapoanza kufikiria kwa kuwa nimemuoa zamani kwa hiyo haki zake zile alizokuwa anapata enzi za uchumba kwa sasa hawezi tena kuzipata hapo unakaribisha hawara ndani ya ndoa yako
 
Kweli kabisa,

Raha kwenye ndoa nyingi ni ANASA ambayo ni watu wachache wanaweza kupata access ya kuwa nayo!!

Ni rahisi kufunga ndoa ya zaidi ya 200mil Tsh kuliko kuwa na ndoa ambayo mnakula kauzu na kufurahia uwepo wa kila mtu na nafasi yake kwenye ndoa!!

Hii ni kweli kabisa: kufunga ndoa ya gharama kubwa ni kama prestigous, LAKINI THE MOMENT OF TRUTH NI pale mtakapoanza maisha ya ndoa!! Do not make a msiatke about this! Unaweza kubaki kwenye ndoa kwa ajili ya watoto (wengi wa wazazi wetu walibaki kwenye ndoa kwa sababu yetu, MIMI NIKIWA MMOJA WAPO).
 
Sometime mfumo dume unatuathiri sana
Tunajifanya kila kitu tunajua na matokeo yake ni kuwa hatujui kitu
Tunajiaminisha kuwa kwa kuwa sisi ndo waoaji ndio wenye last say katika kila kitu
Hata swala la unyumba ni pale tunapotaka na kama kuna hawara huko nje tena ndo kabisa mke atakuwa anapewa unyumba chini ya masharti magumu au pale mimi mwanaume ninapojisikia kufanya hivyo
Na mke hana amri wala uhalali wa kudai haki yake hiyo
Lililo kubwa ambalo mwanamke amekuja kufuata ndani ya nyumba sio hayo tunayodhani ni zaidi ya hapo na wanaume tunatakiwa kujua hilo

Hii ni kweli kabisa. Hebu jiulize, ni institution gani hapa Tanzania ambayo inamfundisha mwanaume jinsi ya kuishi na mwanamke? hardly, your father. mengi ni mazoea ya kuona jinsi wazazi wetu walivyokuwa wanaishi, jamaa zetu na hadithi za vijiweni.

At the end of the day, wanaume wengi sana kwenye ndoa wanakuwa failers.
 
mnataka kulipa uzito swala la unyumba kuliko mengine kwanini? Eti chakula ata nyumbani kilikuepo..ni ngumu kuendelea na mwendo uleule kutoka kwenye uchumba hadi ndoa tena ndoa ya miaka 5 au wanaolalamika ni wale wa ndoa changa?

If you keep a dog, you must give what a dog eats!
Mkuu, hatujazungumzia swala la uchumba na kuwa vile vile. Tunaelewa kwamba majukumu yanakuwa mengi, kuna swala la watoto na mengine (ujenzi, extended families, e.t.c). Lakini, jitahidi ku balance kati ya haya mambo, hata mwanamke wako hategemei wewe uende 10 ro***nds, la hasha, lakini ile ya kumridhisha mwenzio. Hicho ndio kinachopigiwa kelele, kwamba samaki ukishamvua, huna haja ya kumpa chakula tena.....
 
Hii ni kweli kabisa. Hebu jiulize, ni institution gani hapa Tanzania ambayo inamfundisha mwanaume jinsi ya kuishi na mwanamke? hardly, your father. mengi ni mazoea ya kuona jinsi wazazi wetu walivyokuwa wanaishi, jamaa zetu na hadithi za vijiweni.

At the end of the day, wanaume wengi sana kwenye ndoa wanakuwa failers.

Ukiweza kufanya yale ambayo mwanamke anapaswa kufanyiwa na mwanaume hutaona ndoa yako imekuwa ndoano
Ila inapotokea pale tunaposhindwa kutimiza hayo ndo mambo ya hawara yanaingia hapo
 
Ukishaanza kuwa na mawazo kama haya huchelewi kumuona mkeo au mumeo ni mzee ukaenda kutafuta nyumba ndogo
Hakuna ndoa kuzeeka kila siku wapaswa kumuona mumeo au mkeo ni mpya
Unapoanza kufikiria kwa kuwa nimemuoa zamani kwa hiyo haki zake zile alizokuwa anapata enzi za uchumba kwa sasa hawezi tena kuzipata hapo unakaribisha hawara ndani ya ndoa yako

Hii ni kwlei kabisa, imagine na yeye akikuona wewe umezeeka.....
ndio mwanzo wa kushi kwa mazoea.
 
Mmh, nadhani ni rahisi sana kusema kwamba utafunga mabag na kuondoka. Ingakuwa ulaya na America, ningekuelewa kirahisi sana. Ndoa nyingi sana hazina furaha na bado watu wamekaa pamoja. Kama tutafanya sensa ya ndoa zenye furaha hapa JF, na watu wakakubali kusema ukweli wao, we will be shocked.

Sometime kwenye ndoa, watu wanaishi pamoja kwa mambo mengi zaidi ya kupeana raha.
Najua sio rahisi kufungasha mabegi na kuondoka bali je ikifika mahali huyo mume hana upendo nami tena na nimejitahidi kuweka mambo swa kwa msaada wa ndugu jamaa wote na stil akasimamia msimamo wake kuwa mapenzi yameisha na hanihitaji tena hapo bado patakuwa na ndoa?
Binafsi ikifika hapo hata ingekuwa niko sayari nyingine nitafanya liwezekanalo nirudi kwetu,
Ila km mme wangu atakuwa ananipenda lkn akawa na mambo ya vimada sijui hanitimizii haki yang hayo hayata nitoa kamwe kwani yako ndani ya uwezo kwa kuyavumilia nikiwa nayatafutia tiba ya uhakika na ndoa yangu kuwa shwari.
 
Sasa wanaoana ya kazi gani kama tendo la ndoa sio sehemu ya hiyo ndoa?

Wengi wetu wanaume tunajisahau na kufikiria kuwa ndoa ni chakula au mavazi au matumizi mengine madogo madogo au hata usafiri
Tunajua kwa mwanamke hapo tumempa kila anachotaka
Ila tendo la ndoa ni ziada ya kile anachotaka na sio haki yake wala sio kwamba ndio msingi wa ndoa na hapo ndipo linapokuja tatizo
Unamuacha mke wako humpi haki yake ya ndoa unakimbilia kwa hawara na mkeo anapata unyumba kwa masharti au pale mimi mwanaume nitakapojisikia
Hapo ndio ugomvi unapoanzia kwenye ndoa
 
Ukiweza kufanya yale ambayo mwanamke anapaswa kufanyiwa na mwanaume hutaona ndoa yako imekuwa ndoano
Ila inapotokea pale tunaposhindwa kutimiza hayo ndo mambo ya hawara yanaingia hapo

Mwanzoni, unapokuwa na hawara unaweza kuona kwamba unapata raha sana, lakini kusema ukweli, at the end of the day ni mateso sana. Pesa, na resources zote tunazopeleka kwa mahawara zimeshindwa kabisa kudumisha ndoa zetu? Kungekwua na raha kiasi gani kama vingebaki ndani ya familia?

Mfanyakazi mwenzetu amenunuliwa gari na hawara/ mke wa mtu. Mumewe amebanwa na nyumba ndogo, yeye naye anatanua kivyake na wanaume wengine. Mumewe kamjengea nyumba hawara, yeye naye kamnunulia gari hawara yake wa kiume. Ikifikia hatua hiyo, atu wa Tanga wanasema: KAMA MBWAI NI MBWAIA BWANA!!! Wewe mwaga ugali, mimi namwaga mboga.
 
Sasa wanaoana ya kazi gani kama tendo la ndoa sio sehemu ya hiyo ndoa?

Wengine wanaoa kwa ajili ya kupata watoto kama PRINCE CHARLES alipomwoa Pricess Diana. Wako wengi tu wa aina hii, sex ni watoto, na sio pleasure.
 
Najua sio rahisi kufungasha mabegi na kuondoka bali je ikifika mahali huyo mume hana upendo nami tena na nimejitahidi kuweka mambo swa kwa msaada wa ndugu jamaa wote na stil akasimamia msimamo wake kuwa mapenzi yameisha na hanihitaji tena hapo bado patakuwa na ndoa?
Binafsi ikifika hapo hata ingekuwa niko sayari nyingine nitafanya liwezekanalo nirudi kwetu,
Ila km mme wangu atakuwa ananipenda lkn akawa na mambo ya vimada sijui hanitimizii haki yang hayo hayata nitoa kamwe kwani yako ndani ya uwezo kwa kuyavumilia nikiwa nayatafutia tiba ya uhakika na ndoa yangu kuwa shwari.



Ukitekeleza hili, kwa hakika utakuwa UMEKULA KIAPO CHA NDOA KISAWA SAWA!
 
Wengine wanaoa kwa ajili ya kupata watoto kama PRINCE CHARLES alipomwoa Pricess Diana. Wako wengi tu wa aina hii, sex ni watoto, na sio pleasure.
Ila huko nje (nyumba ndogo) ghafla maana inabadilika?
Hao ni watu wasiojielewa.
 
Back
Top Bottom