ameline
JF-Expert Member
- Jan 8, 2013
- 2,292
- 1,151
PISHI LA SAMAKI WA FOIL
MAHITAJI:
-Foil,
-Samaki,
-Limao,
-Soya Sauce,
-Chumvi,
-Karot,
-Hoho,
-Nyanya,
-Garlic,
-Vitunguu na Kabichi
Unampaka kwanza samaki wako chumvi inakolea mpaka ndani, unamuwekea limao na garlic Kisha unaweka Foil unatandika mboga mboga kwa chini halafu unamuweka samaki juu yake
Hakikisha pia mboga zingine zinakaa ndani ya tumbo la samaki
Kama inavyoonekana kwenye picha
Malizia mboga zingine kwa juu ya samaki
Kisha unamwagia soya sauce vijiko 2 kuongezea ladha
Halafu mfunge kwenye foil, na uweke kwenye oven kwa dakika 30 - 45
Kwa wanaotumia kuchoma na jiko la mkaa
Inabidi iwe dk 15 upande mmoja na dk 15 unamgeuza upande wa pili ili aive kote kote
Ila kwa oven ukiweka moto unafika pote bila kugeuza
Baada ya hapo mambo yanakuwa hivi
Sio lazima uweke mboga zote hizo
Unaweza kupunguza vitu ambavyo huvipendelei
Ila ki afya vyote vilivyowekwa ndio vinakamilisha mlo.
ENJOY IT!
MAHITAJI:
-Foil,
-Samaki,
-Limao,
-Soya Sauce,
-Chumvi,
-Karot,
-Hoho,
-Nyanya,
-Garlic,
-Vitunguu na Kabichi
Kama inavyoonekana kwenye picha
Kwa wanaotumia kuchoma na jiko la mkaa
Inabidi iwe dk 15 upande mmoja na dk 15 unamgeuza upande wa pili ili aive kote kote
Ila kwa oven ukiweka moto unafika pote bila kugeuza
Sio lazima uweke mboga zote hizo
Unaweza kupunguza vitu ambavyo huvipendelei
Ila ki afya vyote vilivyowekwa ndio vinakamilisha mlo.
ENJOY IT!