amu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2012
- 16,132
- 31,149
mh uzoefu huo sina ma dia wala sijawahi kutumia kwa microwave labda farkhina ama yeyote aliejaribu au uvumilie nijaribu mimi then ntakupa jibu
Poa poa ahsante
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mh uzoefu huo sina ma dia wala sijawahi kutumia kwa microwave labda farkhina ama yeyote aliejaribu au uvumilie nijaribu mimi then ntakupa jibu
kwa.hizo.dk 30 weka moto degree 200 mpaka 250 weka kwenye zile chuma
PISHI LA SAMAKI WA FOIL
MAHITAJI:
-Foil,
-Samaki,
-Limao,
-Soya Sauce,
-Chumvi,
-Karot,
-Hoho,
-Nyanya,
-Garlic,
-Vitunguu na Kabichi
![]()
Unampaka kwanza samaki wako chumvi inakolea mpaka ndani, unamuwekea limao na garlic Kisha unaweka Foil unatandika mboga mboga kwa chini halafu unamuweka samaki juu yake
Hakikisha pia mboga zingine zinakaa ndani ya tumbo la samaki
Kama inavyoonekana kwenye picha
Malizia mboga zingine kwa juu ya samaki
Kisha unamwagia soya sauce vijiko 2 kuongezea ladha
Halafu mfunge kwenye foil, na uweke kwenye oven kwa dakika 30 - 45
Kwa wanaotumia kuchoma na jiko la mkaa
Inabidi iwe dk 15 upande mmoja na dk 15 unamgeuza upande wa pili ili aive kote kote
Ila kwa oven ukiweka moto unafika pote bila kugeuza
Baada ya hapo mambo yanakuwa hivi
Sio lazima uweke mboga zote hizo
Unaweza kupunguza vitu ambavyo huvipendelei
Ila ki afya vyote vilivyowekwa ndio vinakamilisha mlo.
ENJOY IT!
PISHI LA SAMAKI WA FOIL
MAHITAJI:
-Foil,
-Samaki,
-Limao,
-Soya Sauce,
-Chumvi,
-Karot,
-Hoho,
-Nyanya,
-Garlic,
-Vitunguu na Kabichi
![]()
Unampaka kwanza samaki wako chumvi inakolea mpaka ndani, unamuwekea limao na garlic Kisha unaweka Foil unatandika mboga mboga kwa chini halafu unamuweka samaki juu yake
Hakikisha pia mboga zingine zinakaa ndani ya tumbo la samaki
Kama inavyoonekana kwenye picha
Malizia mboga zingine kwa juu ya samaki
Kisha unamwagia soya sauce vijiko 2 kuongezea ladha
Halafu mfunge kwenye foil, na uweke kwenye oven kwa dakika 30 - 45
Kwa wanaotumia kuchoma na jiko la mkaa
Inabidi iwe dk 15 upande mmoja na dk 15 unamgeuza upande wa pili ili aive kote kote
Ila kwa oven ukiweka moto unafika pote bila kugeuza
Baada ya hapo mambo yanakuwa hivi
Sio lazima uweke mboga zote hizo
Unaweza kupunguza vitu ambavyo huvipendelei
Ila ki afya vyote vilivyowekwa ndio vinakamilisha mlo.
ENJOY IT!
ameline we mkali fungua hoteli maeneo ya posta tuje!PISHI LA SAMAKI WA FOIL
MAHITAJI:
-Foil,
-Samaki,
-Limao,
-Soya Sauce,
-Chumvi,
-Karot,
-Hoho,
-Nyanya,
-Garlic,
-Vitunguu na Kabichi
![]()
Unampaka kwanza samaki wako chumvi inakolea mpaka ndani, unamuwekea limao na garlic Kisha unaweka Foil unatandika mboga mboga kwa chini halafu unamuweka samaki juu yake
Hakikisha pia mboga zingine zinakaa ndani ya tumbo la samaki
Kama inavyoonekana kwenye picha
Malizia mboga zingine kwa juu ya samaki
Kisha unamwagia soya sauce vijiko 2 kuongezea ladha
Halafu mfunge kwenye foil, na uweke kwenye oven kwa dakika 30 - 45
Kwa wanaotumia kuchoma na jiko la mkaa
Inabidi iwe dk 15 upande mmoja na dk 15 unamgeuza upande wa pili ili aive kote kote
Ila kwa oven ukiweka moto unafika pote bila kugeuza
Baada ya hapo mambo yanakuwa hivi
Sio lazima uweke mboga zote hizo
Unaweza kupunguza vitu ambavyo huvipendelei
Ila ki afya vyote vilivyowekwa ndio vinakamilisha mlo.
ENJOY IT!
kuna microwave zina oven unaweza kuivisha....pia nyama ya kawaida ukiiweka muda mrefu kwenye microwave unaweza ivisha lkn haiwi nzuri ka ukitumia oven/jiko la kawaida!
waweza pia tupia vipande vya viazi (vikatwe vipande vidogo), au ndizi bukoba kwenye foil, vinaiva vizurina vinakuwa na ladha tamu. waweza pia kutupia squash, zuccini, baby beans (kutegemea na taste yako) kama sehemu ya mboga mboga.
shogah mambo! Hivi naweza pika mandazi bila kuweka hamira?yatatokaje?yataiva? Kwa asieyetumia yeast.
labda utumie baking powder na mayai lakini halitakua andazi itakuwa half-keki