Samaki wa foil

Samaki wa foil

mh uzoefu huo sina ma dia wala sijawahi kutumia kwa microwave labda farkhina ama yeyote aliejaribu au uvumilie nijaribu mimi then ntakupa jibu

Poa poa ahsante
 
PISHI LA SAMAKI WA FOIL


MAHITAJI:

-Foil,
-Samaki,
-Limao,
-Soya Sauce,
-Chumvi,
-Karot,
-Hoho,
-Nyanya,
-Garlic,
-Vitunguu na Kabichi
DSC03776.JPG






Unampaka kwanza samaki wako chumvi inakolea mpaka ndani, unamuwekea limao na garlic Kisha unaweka Foil unatandika mboga mboga kwa chini halafu unamuweka samaki juu yake

Hakikisha pia mboga zingine zinakaa ndani ya tumbo la samaki
Kama inavyoonekana kwenye picha

Malizia mboga zingine kwa juu ya samaki


Kisha unamwagia soya sauce vijiko 2 kuongezea ladha


Halafu mfunge kwenye foil, na uweke kwenye oven kwa dakika 30 - 45
Kwa wanaotumia kuchoma na jiko la mkaa
Inabidi iwe dk 15 upande mmoja na dk 15 unamgeuza upande wa pili ili aive kote kote
Ila kwa oven ukiweka moto unafika pote bila kugeuza


Baada ya hapo mambo yanakuwa hivi
Sio lazima uweke mboga zote hizo
Unaweza kupunguza vitu ambavyo huvipendelei
Ila ki afya vyote vilivyowekwa ndio vinakamilisha mlo.
ENJOY IT!

Kwa tunaotumia jiko la gesi inakuwaje kiongozi?
 
PISHI LA SAMAKI WA FOIL


MAHITAJI:

-Foil,
-Samaki,
-Limao,
-Soya Sauce,
-Chumvi,
-Karot,
-Hoho,
-Nyanya,
-Garlic,
-Vitunguu na Kabichi
DSC03776.JPG






Unampaka kwanza samaki wako chumvi inakolea mpaka ndani, unamuwekea limao na garlic Kisha unaweka Foil unatandika mboga mboga kwa chini halafu unamuweka samaki juu yake

Hakikisha pia mboga zingine zinakaa ndani ya tumbo la samaki
Kama inavyoonekana kwenye picha

Malizia mboga zingine kwa juu ya samaki


Kisha unamwagia soya sauce vijiko 2 kuongezea ladha


Halafu mfunge kwenye foil, na uweke kwenye oven kwa dakika 30 - 45
Kwa wanaotumia kuchoma na jiko la mkaa
Inabidi iwe dk 15 upande mmoja na dk 15 unamgeuza upande wa pili ili aive kote kote
Ila kwa oven ukiweka moto unafika pote bila kugeuza


Baada ya hapo mambo yanakuwa hivi
Sio lazima uweke mboga zote hizo
Unaweza kupunguza vitu ambavyo huvipendelei
Ila ki afya vyote vilivyowekwa ndio vinakamilisha mlo.
ENJOY IT!

xxx.jpg
 
PISHI LA SAMAKI WA FOIL


MAHITAJI:

-Foil,
-Samaki,
-Limao,
-Soya Sauce,
-Chumvi,
-Karot,
-Hoho,
-Nyanya,
-Garlic,
-Vitunguu na Kabichi
DSC03776.JPG






Unampaka kwanza samaki wako chumvi inakolea mpaka ndani, unamuwekea limao na garlic Kisha unaweka Foil unatandika mboga mboga kwa chini halafu unamuweka samaki juu yake

Hakikisha pia mboga zingine zinakaa ndani ya tumbo la samaki
Kama inavyoonekana kwenye picha

Malizia mboga zingine kwa juu ya samaki


Kisha unamwagia soya sauce vijiko 2 kuongezea ladha


Halafu mfunge kwenye foil, na uweke kwenye oven kwa dakika 30 - 45
Kwa wanaotumia kuchoma na jiko la mkaa
Inabidi iwe dk 15 upande mmoja na dk 15 unamgeuza upande wa pili ili aive kote kote
Ila kwa oven ukiweka moto unafika pote bila kugeuza


Baada ya hapo mambo yanakuwa hivi
Sio lazima uweke mboga zote hizo
Unaweza kupunguza vitu ambavyo huvipendelei
Ila ki afya vyote vilivyowekwa ndio vinakamilisha mlo.
ENJOY IT!
ameline we mkali fungua hoteli maeneo ya posta tuje!
 
Last edited by a moderator:
farkhina na ameline naweza weka samaki au nyama ng'ombe kwa microwave na ikaiva baada ya kufatq process zote?

kuna microwave zina oven unaweza kuivisha....pia nyama ya kawaida ukiiweka muda mrefu kwenye microwave unaweza ivisha lkn haiwi nzuri ka ukitumia oven/jiko la kawaida!
 
Last edited by a moderator:
Farkhina Huwezi amini hilo pishi nimeliota usiku na huu niko njiani kwenda ferry! leo nataka raha nijipe mwenyewe featuring My Heartbeat Angel Nylon
 
kuna microwave zina oven unaweza kuivisha....pia nyama ya kawaida ukiiweka muda mrefu kwenye microwave unaweza ivisha lkn haiwi nzuri ka ukitumia oven/jiko la kawaida!

Nami nimekumbuka home tunayo madha ndo zake nyama ya mbuzi apika kwa foil.
inasehemu mpaka ya grill.
Ila too bad yangu haina inabidi nitafute
 
waweza pia tupia vipande vya viazi (vikatwe vipande vidogo), au ndizi bukoba kwenye foil, vinaiva vizurina vinakuwa na ladha tamu. waweza pia kutupia squash, zuccini, baby beans (kutegemea na taste yako) kama sehemu ya mboga mboga.

Mmmmh
Wekeend hii samaki wa foil atanihusu


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
shogah mambo! Hivi naweza pika mandazi bila kuweka hamira?yatatokaje?yataiva? Kwa asieyetumia yeast.

labda utumie baking powder na mayai lakini halitakua andazi itakuwa half-keki
 
Back
Top Bottom