Samaki wapungua kwa sababu ya kushamiri uvuvi haramu, wawekezaji walalamika

Samaki wapungua kwa sababu ya kushamiri uvuvi haramu, wawekezaji walalamika

Mama ana siku 60 mnaanza kumpakazia uongo. Nyie kina Luhaga Mpina, Doto Biteku,Pole Pole, SabayaNape Mnauye na January Makamba n.k Zama zenu zimeisha. Kubalini matokeo na hizo kambi zenu hazitomuyumbisha Mama Madame President.
 
Huu ni umbea.

Leta taarifa kama mtu mwenye uelewa. Hili siyo jukwaa la wambea.
 
Waziri husika fanya kazi,watu tulisha sahau haya mambo ya uvuvi haramu,msitake kumuaibisha mama ili aonekane hafanyi kazi,tokeni huko maofisini mkarekebishe hiyo hali hii ni aibu sana...
 
Wawekezaji wa viwanda vya kuchakata minofu ya samaki mkoani Mwanza wamelalamikia uhaba wa malighafi unaochangia kupungua kwa uzalishaji unaodaiwa kusababishwa na shughuli za uvuvi haramu.

wazalishaji hao wamesema uzalishaji umepungua kwa kasi kutoka tani 200 kwa siku mpaka tani 14 kwa sasa na hali hii imesababisha kuyumba kwa biashara hata mapato ya serikali kupungua.
Bumunda umepigwa ban tena.
 
Wawekezaji wa viwanda vya kuchakata minofu ya samaki mkoani Mwanza wamelalamikia uhaba wa malighafi unaochangia kupungua kwa uzalishaji unaodaiwa kusababishwa na shughuli za uvuvi haramu.

wazalishaji hao wamesema uzalishaji umepungua kwa kasi kutoka tani 200 kwa siku mpaka tani 14 kwa sasa na hali hii imesababisha kuyumba kwa biashara hata mapato ya serikali kupungua.
Waambie hao wenye viwanda ni wajinga! Ni wajinga! Wanahitaji kuelimishwa baiolojia ya ziwa. Wao walianzisha viwanda kama kundi la nyumbu wa serengeti. Hawakujuwa tabia ya malighafi yao. Walikuwa wanashindana kuvua kwa wingi wakiamini samaki wanaongezeka kwa ufufuo na incarnation?
 
Back
Top Bottom