Jumashebby
Senior Member
- Jan 25, 2025
- 111
- 244
Daah Sasa mwanaume unajiita Taamu Mzee hukuona majina ya kujiita Familiar.Bahati MBAYA mi sio dada.
Tamimu ally muhhamedyDaah Sasa mwanaume unajiita Taamu Mzee hukuona majina ya kujiita Familiar.
Mwanaume unakula pweza? Mwanaume halisi anakula madude kama hayoAu sio?! π sio unakula Pweza
We ulivoona taamu ikakujia picha ya kiharage si ungecheki mwandiko mkuu.Daah Sasa mwanaume unajiita Taamu Mzee hukuona majina ya kujiita Familiar.
Mzinzi jamaaππKibeans nn π
Ha ha haAisee
Sasa si ungeandika Tamimu apo unaenda kuandika Taamu. Mwanangu utakuja kufatwa inbox utongozwe kumbe ni lidume change jina Mzee.Tamimu ally muhhamedy
Atakaekujae kuntongoza aje na bikiniSasa si ungeandika Tamimu apo unaenda kuandika Taamu. Mwanangu utakuja kufatwa inbox utongozwe kumbe ni lidume change jina Mzee.
Acha tamaa jumashebby.hilo jina la kawaida tuSasa si ungeandika Tamimu apo unaenda kuandika Taamu. Mwanangu utakuja kufatwa inbox utongozwe kumbe ni lidume change jina Mzee.
ππ Baridi askari wanguAcha tamaa jumashebby.hilo jina la kawaida tu
Ha ha ha dawa muraaππ Baridi askari wangu
Watu wanachekesha sana,tatzo hawaendag masokon kuna samak wa aina nying sanaSasa hawa wanaosema kuwa nimekula Ugali na Cobra!??
Yeah ni kambalew
Kama kambale vile