Samaki wazuri wa kukaanga

Samaki wazuri wa kukaanga

Kwenye pita pita nikakutana na samaki hawa, muuzaji anawapatia sifa sana kuwa ni samaki wenye virutubisho haswa protein.
View attachment 3229493

Sijafahamu ni samaki kutoka sehemu gani, ila nilipokula nimepata kuona ni samaki watamu sana, nyama laini na yenye upekee wa tofauti.

Kwenye pita pita nikakutana na samaki hawa, muuzaji anawapatia sifa sana kuwa ni samaki wenye virutubisho haswa protein.
View attachment 3229493

Sijafahamu ni samaki kutoka sehemu gani, ila nilipokula nimepata kuona ni samaki watamu sana, nyama laini na yenye upekee wa tofauti.
Ni species tofauti,.lkn pia Kuna kamongo hapo
 
CBAE2BD4-03D2-4866-96D2-9593EDCC8D58.jpeg
 
Kwenye pita pita nikakutana na samaki hawa, muuzaji anawapatia sifa sana kuwa ni samaki wenye virutubisho haswa protein.
View attachment 3229493

Sijafahamu ni samaki kutoka sehemu gani, ila nilipokula nimepata kuona ni samaki watamu sana, nyama laini na yenye upekee wa tofauti.
Hawa walichunwa ngozi wanaitwa mshekele ,wapo fresh na kubanikwa kama hivyo wanapatikana kwenye mabwawa na mito inayoingia ziwa tanganyika ,sokoni Kagera nyakati za jioni
 
Hawa walichunwa ngozi wanaitwa mshekele ,wapo fresh na kubanikwa kama hivyo wanapatikana kwenye mabwawa na mito inayoingia ziwa tanganyika ,sokoni Kagera nyakati za jioni
Kweli kabsa 😔 nashangaa watu wanasema Cobra
 
Wewe haujalishwa nyoka waliokatwa mikia wewe hawa?🤔
 
Back
Top Bottom