Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwenye pita pita nikakutana na samaki hawa, muuzaji anawapatia sifa sana kuwa ni samaki wenye virutubisho haswa protein.
View attachment 3229493
Sijafahamu ni samaki kutoka sehemu gani, ila nilipokula nimepata kuona ni samaki watamu sana, nyama laini na yenye upekee wa tofauti.
Ni species tofauti,.lkn pia Kuna kamongo hapoKwenye pita pita nikakutana na samaki hawa, muuzaji anawapatia sifa sana kuwa ni samaki wenye virutubisho haswa protein.
View attachment 3229493
Sijafahamu ni samaki kutoka sehemu gani, ila nilipokula nimepata kuona ni samaki watamu sana, nyama laini na yenye upekee wa tofauti.
Kambale walioozaKwenye pita pita nikakutana na samaki hawa, muuzaji anawapatia sifa sana kuwa ni samaki wenye virutubisho haswa protein.
View attachment 3229493
Sijafahamu ni samaki kutoka sehemu gani, ila nilipokula nimepata kuona ni samaki watamu sana, nyama laini na yenye upekee wa tofauti.
Ni hao hao tuAhh mara Cobra! Mara Kambale waliooza 😃
Mkuu nimechange lile jina lililokutekenya la taamu.Daah 😂😂 mpaka umeenda kugoogle Mzee ndio unatuletea jina lake sahiz.
Jembe langu hauja kosea kabisa😂Naskia ukiwala hasa mwanaume, si haba..😜 zina unyama wa haja....😝
Huyo mmoja tolu mbona kama kavaa cheni ya silver?Kwenye pita pita nikakutana na samaki hawa, muuzaji anawapatia sifa sana kuwa ni samaki wenye virutubisho haswa protein.
View attachment 3229493
Sijafahamu ni samaki kutoka sehemu gani, ila nilipokula nimepata kuona ni samaki watamu sana, nyama laini na yenye upekee wa tofauti.
Hawa walichunwa ngozi wanaitwa mshekele ,wapo fresh na kubanikwa kama hivyo wanapatikana kwenye mabwawa na mito inayoingia ziwa tanganyika ,sokoni Kagera nyakati za jioniKwenye pita pita nikakutana na samaki hawa, muuzaji anawapatia sifa sana kuwa ni samaki wenye virutubisho haswa protein.
View attachment 3229493
Sijafahamu ni samaki kutoka sehemu gani, ila nilipokula nimepata kuona ni samaki watamu sana, nyama laini na yenye upekee wa tofauti.