Word..Nadhani sio statement to idriss peke yke pia wale wapuuzi wa bongo wanakosaga kazi na kucomments shits kwenye pages za watu
How many times!!Samantha why can't you unfriend them!
As many times as possible!How many times!!
Hesabu zangu zinasema ana miaka 35Ukweli ni kuwa madame range ana mtindio Wa utashi, anaweza kuwa ana miaka 28, lakini utashi wake nisawa na mtu wa miaka 12. Ndio mana anajiona mtoto bado.