Aston villa walitakiwa kucheza na Manchester united mechi ya kwanza kwenye ligi,
Hawakucheza kutokana na Manchester united kuongezewa muda wa mapumziko pamoja na Manchester city
Am sure kama sio kushinda basi sare wangepata ,hadi sasa hawa mabwana wameshinda mechi 4 kati ya mechi nne walizo cheza EPL msimu huu pamoja na ile walio mbomoa Liverpool goli 7.
Kikosi chao kiko very balanced ukiwaangalia flow ya mashambulizi na namna wanavyo jilinda ni dhahiri wanajambo lao msimu huu ..
Kutoka kwenye chupu chupu kushuka daraja mpaka tittle contender ni Zaidi ya mabadiriko.
Ni mapema kusema hawa Jamaa ni tittle contender ila wameanza vema sana tofauti na matarajio ya watanzania wengi tulio wa unfollow Instagram na Twitter.
Wajuba wako serious kutu onesha kua kakaetu alikua tatizo na sio Jack Grielish kumnyima pasi .
#FAHAMUSPOTI.