Tatizo hamuelewagi malalamiko ya wadau,binafsi huwa nafuatilia mijadala ya kumlalamikia Samatta ila wanachodai ni kwamba Samatta akiwa bongo hajitumi sana kama anavyokuwa Genk,na hili ni la kweli,Hakuna aliyewai kusema Samata hajui labda kama mtu hajielewi