Samata Ametupia tena UEFA

Samata Ametupia tena UEFA

Hivi msimu uliopita si alikua mmoja wa wafungaji bora wa ligi yubelgiji?kwa maana ya namba 2 ?bado unasema anabahatisha?
Tp mazembe alikua mfungaji bora na akateuliwa kuwania tuzo ya mchezaji bora afrika,bado haumuelewi tu ati anaotea?
soma kwa makini utaelewa
 
Tatizo hamuelewagi malalamiko ya wadau,binafsi huwa nafuatilia mijadala ya kumlalamikia Samatta ila wanachodai ni kwamba Samatta akiwa bongo hajitumi sana kama anavyokuwa Genk,na hili ni la kweli,Hakuna aliyewai kusema Samata hajui labda kama mtu hajielewi
Ni taifa star inapaswa kujituma
 
Siku mkijua kwa nini Kapombe kastaafu kuichezea Team ya Taifa....ndo utaelewa kwa nini Samatta hucheza anavyocheza akiitwa Taifa!!

.......i would do the same.....
 
Back
Top Bottom