ibanezafrica
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,261
- 6,553
Ni katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Gent fc
Ssmata akiingia nyavuni katika dakika ya 23 Ya mchezo
Hongera sana Mbwana samata. Sasa hivi kwa goli zake 15 katika ligi amefungana na King Messi wa Barcelona
Kiasi inafurahisha sababu mastaa kibao wa dunia amewaburuza japo kwa muda wakiwemo
Cr7
Naymar
Mbappe
Luis Suarez
Mohd Sarah
Aubumeyang
Lewandonsky
Kun Aguero
Griezman na wengine kibao
Ssmata akiingia nyavuni katika dakika ya 23 Ya mchezo
Hongera sana Mbwana samata. Sasa hivi kwa goli zake 15 katika ligi amefungana na King Messi wa Barcelona
Kiasi inafurahisha sababu mastaa kibao wa dunia amewaburuza japo kwa muda wakiwemo
Cr7
Naymar
Mbappe
Luis Suarez
Mohd Sarah
Aubumeyang
Lewandonsky
Kun Aguero
Griezman na wengine kibao