Creah
Member
- Apr 6, 2018
- 79
- 82
Mshambuliaji tegemezi wa club ya Everton Sigurdsson G raia wa Iceland ukimlinganisha na mshambuliaji wa club ya KRC Genk Samata M raia wa Tanzania utaona sababu kubwa ya Everton kumtaka samata kwa hali na mali.
Record zao zinatofautiana sana haswa katika upachikaji wa magoli huku samata akimzidi sana Sigurdsson G kwani Sigurdsson G katika michezo 24 zilizopita amefunga magoli 8 huku samata katika mechi 24 zilizopita amefunga magoli 23 huku Europa ndogo akifunga magoli 5 kwemye mtoano huku kwenye makundi akifunga magoli 3 katika mechi nne.
i Sigurdsson G kwenye ligi ana magoli 5 akiwa ni mchezaji wa 8 kwenye topscore huku samata kwenye ligi ana magoli 8 akiwa nyuma ya kinala wa ufungaji Ivan Santin mwenye magoli 9.
Samata anashika nafasi ya 2 kwenye Europe league akiwa na magoli 3 nyuma ya muisilael Dabbur M anaechezea Salzburg ya austria mwenye magoli 5.
Hadi hapo kwa leo nimekuonyesha mwanga kuwa samata ni miongoni mwa washambuliaji hatari barani ulaya na kufunguliwa kwa dilisha dogo la usajili ulaya miongoni mwa wachezaji watakaoongelewa sana katika usajili na samata yumo. Hata hivyo Everton wanaweza wakamkosa samata kwani kuna vilabu vingi vikubwa barani ulaya vinavyomnyatia.
Record zao zinatofautiana sana haswa katika upachikaji wa magoli huku samata akimzidi sana Sigurdsson G kwani Sigurdsson G katika michezo 24 zilizopita amefunga magoli 8 huku samata katika mechi 24 zilizopita amefunga magoli 23 huku Europa ndogo akifunga magoli 5 kwemye mtoano huku kwenye makundi akifunga magoli 3 katika mechi nne.
i Sigurdsson G kwenye ligi ana magoli 5 akiwa ni mchezaji wa 8 kwenye topscore huku samata kwenye ligi ana magoli 8 akiwa nyuma ya kinala wa ufungaji Ivan Santin mwenye magoli 9.
Samata anashika nafasi ya 2 kwenye Europe league akiwa na magoli 3 nyuma ya muisilael Dabbur M anaechezea Salzburg ya austria mwenye magoli 5.
Hadi hapo kwa leo nimekuonyesha mwanga kuwa samata ni miongoni mwa washambuliaji hatari barani ulaya na kufunguliwa kwa dilisha dogo la usajili ulaya miongoni mwa wachezaji watakaoongelewa sana katika usajili na samata yumo. Hata hivyo Everton wanaweza wakamkosa samata kwani kuna vilabu vingi vikubwa barani ulaya vinavyomnyatia.