Samatta ahakikishiwa namba kuwaliza Leicester City

Mechi dhidi ya leicester ni saa ngapi?
 
Kuna beki kisiki Caglar Soyuncu, sijui kama atafunga huyo mchezaj wenu

Sent using Jamii Forums mobile app
Uzuri wa mpira ni mchezo wa wazi, sio kama karata!! Kwani hatukawii kusema ana hujumiwa, kwani ndio MOTTO, wetu siku hizi mtu anaposhindwa kitu, utasikia sio bure kuna hujuma!!! Samatta anatakiwa afanye kazi kweli kweli, yasiye yakatokea ya thabiti,
 
Sijaelewa hapo mtu katoka ubeligiji mnasema mazoezi ya uingereza magumu je angetokea tz mojakwamoja si angededi uwanjani
Na siyo katoka Ubeligiji tu bali kwenye timu ambayo ni bingwa mtetezi kwenye ligi hiyo ila unaambiwa mazoezi ni magumu AstonVilla ambayo inachechemea EPL.
 
I wish awa-impress Aston Villa kwenye first appearance ya leo kwa kuisadia timu kupata matokeo hata kwa assist pekee.
 
Once hater always hater. Yaani ukiwa hater unaamini Soyancu ni beki bora kuliko VVD.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…