Samatta ahakikishiwa namba kuwaliza Leicester City

Hapana,sio kwamba anashindwa mazoezi la hasha!tatizo ni ugeni wa mazingira aliyopo kwani bado hajayazoea vyema ila atakapozoea mazingira mambo yatakua safi labisa


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nionyeshe hapo juu palipoandikwa kwamba "HATA MAZOEZI TU ANASHINDWA!"

Wabongo bana.... Wachawi Sana.... Utakua Unaishi Tandale kwa Mfuga Mbwa bila shaka.
Wenga ni wengi Sana mkuu
 
Samatta ni MESSI MWEUSI
Aliongea kabla ya mechi (usiku huu) kasema atabaki kuwa samatta na hawezi kuwa messi kwa sababu ya mchezo wa leo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…