Umeambiwa anakula bata, au kiswahili kigumu? Kitimoto katoka wapi sasa?Huyu kijana awe mwangalifu. Jamaa watamlisha kiti moto hivi hivi.
Mi mtaani kwetu tumeacha kucheza mpira,tuna-bet tu na kila wiki tunapata ,Mpira bongoo?Hapa longolongo tu,tuachieni na mambo yetu,mpora pelekeni kwengine!View attachment 326814 View attachment 326815 View attachment 326816 View attachment 326818 View attachment 326819
Hii ni hafla iliyohusisha wachezaji wa Genk na mashabiki wao,ilikuwa na kupiga starehe mpaka kucheee...Mbwana Samatta katikati ya mashabiki wa Genk wakila "bata"
Umemuona bata hapo?Umeambiwa anakula bata, au kiswahili kigumu? Kitimoto katoka wapi sasa?
wacha kutuzuga sio yeye, mleta mada umetuingiza mkengeni
Kama akina Samir Nasri wanagonga "kiti" kama kawaida,sasa Samatta is who? (in Mbowe's voice)Huyu kijana awe mwangalifu. Jamaa watamlisha kiti moto hivi hivi.
Utasikia wakenya wanasema Samatta ni mkenya
hahahaaa!kusemea ukweli mi bata sijawaona hapo
Utamuonaje wakati kapikwa?Umemuona bata hapo?
Akaze buti dogo msimu ujao Gunners tumsajili...huyu dogo yuko ki gunners Zaidi..kila la kheri dogo kaza buti hadi kieleweke mwakani utue Imarati.
Maisha ya Ulaya kama huli kitimoto inabidi uwe makini Sana maana hata ukinunua nyama inabidi utafute maduka ya Halaal lakini supermarket za wote ni ngumu. Kwasababu hapo inapouzwa nyama ya ng'ombe/mbuzi ndio humu huko imewekwa kiti moto. Uislam tabu Sana maisha haya
Ungekula tu hyo ni zaidi kuku..Mimi mwenyewe alimanusura leo nikile kitimoto bahati tu nikaona jina ''Jambon'' nikashtuka du jamaa aka apologise sana ila mwishoni akasema you can eat the rest ...mhhhh wakati zimechanganyika.... nimeshinda njaa ila jioni nimekandamiza mikate mikavu na nyanya mbichi Ulaya kwa misosi shida aisee .. tumezoea supu kwa mangi na chapati au vitumbua kwa mama semeni.........by the way samata kama uko humu JF kakao niko Bordouex hapa France karibu ila weekend ijayo narudi home
Bora hata Samatta amekula Bata mimi nilikula malimao na madaftari yaliyorostiwa pale Brussels..watasha bhaana.
"Kula bata" ni msemo tu; ni sawa na kusema "kula kuku kwa mrija". Yote kwa yote, ni vigumu kuepuka kitimoto Ulaya. Uangalifu mkubwa unahitajika.Utamuonaje wakati kapikwa?
Kama anajua kifaransa vizuri hata path shida.Asisahau plastic smile tu.lugha hapo atajiona anatengwa bure