Samatta atulie tu, Page ya Man City imejaa wa Algeria na mashabiki wameshazoea

Tz boy 4tino

JF-Expert Member
Joined
Sep 14, 2014
Posts
1,598
Reaction score
1,822
Samatta akazane na mpira tu Haya mambo ya mashabiki ni ngumu sana kuzuia, Mfano; ukienda page ya Man City ni full kiarabu na kila mada huhusishwa na Mahrez hiyo imetokana na uwepo wa Algeria wengi wanaoipenda Man City kutokana na uwepo wa captain wao Riyad Mahrez. Mtu akimponda captain huyo wa Algeria basi husakama na wa Algeria kama wote hata kama mchezaji huyo hakucheza vizuri. Ni hayo tu.
 
Ah kifupi samata mwenyewe hakupendezewa nakile kitendo cha kuto kupewa pass nayule jamaa angepewa mbona angepiga chapili kwan unafikir hapend kunga kiupande flan naye alimaind
 
Ah kifupi samata mwenyewe hakupendezewa nakile kitendo cha kuto kupewa pass nayule jamaa angepewa mbona angepiga chapili kwan unafikir hapend kunga kiupande flan naye alimaind
Bila shaka πŸ€™
 
Wabongo kwa mitandao hatujambo,page ya Pompeo pia imejaa wabongo ni kiswanglish tu huko..
 
Ah kifupi samata mwenyewe hakupendezewa nakile kitendo cha kuto kupewa pass nayule jamaa angepewa mbona angepiga chapili kwan unafikir hapend kunga kiupande flan naye alimaind
wewe ni mbuzi nafasi ipi ya wazi aliyoipata samata ya kupewa pass akanyimwa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mbona kuna mabadiliko makubwa bei ya vifurushi jamaa, inatutesa sana. tigo walikuwa wakombozi nao wameweka bei za ajabu kwa data kiduchu.
ipo kwenye damu au michongo ya pesa hamna, huu nao ni uzururaji[emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
Bado pia ni rahisi kulinganisha na nchi nyingine kama SA,Ghana,Nigeria n.k
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…