Samatta atumia 130M kununua gari yake mpya

Hongera Samata Naona Ulichoka Kupewa Lift Na Thomas Buffel Na Leon Bailey.
 
Naaam..... Ndio maana tunapinga ununuzi wa Dear Bomba wakati ya msingi tunaombaomba. Labda samatta kashayatimiza.

Kila la heri Samatta. Vuta na wengine upatapo fursa.
 
130M unanunua gari wkt ukiipasua robo unapata gari latest nzuri, hivi kajenga kwao? Hapo usikute anaishi ktk studio apartment, akili za vijana wa leo.
Sio vijana tu mkuu. Kuna taifa linaongozwa na mtu mzima wa kileo tena mpyampya kaamua kununua ndege wakati anaombaomba madawati na hospitali hazina chanjo.
 
Kwani kuna tatizo kwa samata kununua gari aipendayo?
 
Nimependa hiyo bombadia. Maana mkuu kanunua 2 watu wanamsakaaaamaa.... na yeye kuonyesha yuko sahihi, anaongeza zingine kubwa 2. Hayo ndo mambo ya hela. Tumia utakavyo. Tatizo ni kwa hela za umma
 
Hajapata kamdada kamoja ka bongo movie kakumsaidia kula maisha?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…